Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,705
Wakuu nimekuta hivi hebu mnisaidie maana hapa vipi au natakiwa kuludiaa tenaa niniiiiii
tulia wewe... ushapita 1st round
Wakuu nimekuta hivi hebu mnisaidie maana hapa vipi au natakiwa kuludiaa tenaa niniiiiii
Wanataka watu kama nyinyi mkasome education mje mjaze ma gape kwenye shule za kata.
Mku ndo inakuwa hivyo kwako! pole sana, mwaka jana pia kuna watu at first waliambiwa 2nd round sanasana wale wa md, jamaa yangu mmoja walimrudishia st francis baada ya mda, mwanzoni system inakuwa haija kaa poa so jaribu huku unasubiria huenda zakarudiTCU hawaeleweki...let say umeenda kwenye kuchagua secondround..ukiweka course then ikakubali..hlfu urudi kwenye "view selections" haukuti hiyo course, then at times course za mwanzo zinarudi zote.
Mkuu siyo kuwa hatupendi ualimu...sema ukiingia ualimu hauthaminiwi...ndo shida.
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanaoenda kusoma ualimu sio kwamba wanapenda bali kuna circumstances zinazowapeleka huko mf familia kukosa uwezo wa kumsomesha privately kutokana na kukosa Mkopo..... Kukosa course aliyoipenda so inambidi achague education ili apate boom... Kwa hiyo huna option nyngne kama uwezo wa familia ni mdogo.
Funguen profile zenu muangalie, TCU wamesha anza kupokea maombi mapya kwa mnaotakiwa kurudia kuomba vyuo.
TCU hawaeleweki...let say umeenda kwenye kuchagua secondround..ukiweka course then ikakubali..hlfu urudi kwenye "view selections" haukuti hiyo course, then at times course za mwanzo zinarudi zote.
1.UDOM
2.UDSM
3.KCMC
4.Ifikara
5.BUGANDO
Wakuu mi nina div 2.12.'D phy,D chem,D adv math' old grad,nimepita first round.je ninitapangiwa wapi
priority
1.civil ud
2.civil ardhi
3.civil d.i.t
4.civil st.joseph
5.civil mbeya uni.
wewe acha kudanganya. wameandika 2round application will be announced soon? wewe hiyo umesoma wapi?
Kingeleza kigum ww ooohh
Wakuu toka saa 12 jion najaribu kuchungulia profile ila haifunguki... Ni Kwangu tu ama?