CAS is now open for 2nd round applications only

CAS is now open for 2nd round applications only

Kwa aliyeona mabadliko atujuze wakuu...maana Kama hujakosa first aplication profile huwa haibadiliki.
 
Tusubir second round ni kuanzia tar 9sept mpaka tar 15sept
 
Mahroof mbona unakimbia??. njoo utujuze uliona wapi izo post.au ndo cyber crime washa kutia hatian
 
jamani wakuu mi mbona CAS HAIFUNGUKI ila TCU Yenyewe inafunguka ila nikitaka kufungua central admission system haifunguki ili niangalie profile langu lakin kitu kimegoma je na wengine ni hivyohivyo au ni mimi peeke yang
 
jamani wakuu mi mbona CAS HAIFUNGUKI ila TCU Yenyewe inafunguka ila nikitaka kufungua central admission system haifunguki ili niangalie profile langu lakin kitu kimegoma je na wengine ni hivyohivyo au ni mimi peeke yang

nami pia nilitaka kuuliza hiyo ishu, itakuwa ndo wanafanya yao, huenda itakapokubali ndo 2nd round itaruhusiwa kwa waliokosa na waliochelewa, tusubiri.
 
Back
Top Bottom