CAS is now open for 2nd round applications only

CAS is now open for 2nd round applications only

Haina noma mana chuo ni hadi November ila watakaofanya 2nd round nawapa pole sana
 
Jaman wengine profile zao zipo iv
 

Attachments

  • 1442039898398.jpg
    1442039898398.jpg
    42.4 KB · Views: 341
Second round bado.... ni mpk Tangazo maalumu
litoke kwenye website ya TCU. Juzi ni kwamba
system ilizingua tuh, so ondoeni hofu.
 
Second round bado.... ni mpk Tangazo maalumu
litoke kwenye website ya TCU. Juzi ni kwamba
system ilizingua tuh, so ondoeni hofu.

jaribu basi ata kuangalia huu uzi vizuri page nyingine, anyway labda hukufahamu, ila 2nd iliruhusiwa alhamisi kabla sytem haijazingua na waliowahi walifanya kwa kuchagua coz moja nyingine huamini angalia screenshot humu za waliofanya 2nd na za waliopata
 
jaribu basi ata kuangalia huu uzi vizuri page nyingine, anyway labda hukufahamu, ila 2nd iliruhusiwa alhamisi kabla sytem haijazingua na waliowahi walifanya kwa kuchagua coz moja nyingine huamini angalia screenshot humu za waliofanya 2nd na za waliopata


Mkuu,second round bado na ikiwa tayari TCU wataweka tangazo maalum pale.Kilichotokea juzi ni kama kuleak tu na ndio maana waliobahatika kuchagua wamebahatika

Mwaka 2013 matokeo ya TCU yalileak kupitia airtel(credit to Mbwiga99)...watu wengi tulionea kule but later wakafunga

Tuvumilie mkuu
 
Mkuu,second round bado na ikiwa tayari TCU wataweka tangazo maalum pale.Kilichotokea juzi ni kama kuleak tu na ndio maana waliobahatika kuchagua wamebahatika

Mwaka 2013 matokeo ya TCU yalileak kupitia airtel(credit to Mbwiga99)...watu wengi tulionea kule but later wakafunga

Tuvumilie mkuu
jidanganye ivyoivyo
 
wadau kila kitu kwa wkt wake, wkt ukifika TCU wataweka mambo hadharani, kuweni na subira
 
Sasa mtu anabisha hata taarifa zikizotoka TCU, Watu tumeenda jana tukapewa hizo taarifa.
 
Sasa mtu anabisha hata taarifa zikizotoka TCU, Watu tumeenda jana tukapewa hizo taarifa.

ninachojaribu kusema ni kwamba sidhani kama kilichoonekana alhamis kitakuwa kinyume na kitakachoonekana j3 au siku yoyote cas itakapokuwa wazi, either way around tusubiri tu kama unavyosema mliambiwa.
 
Back
Top Bottom