CAS is now open for 2nd round applications only

CAS is now open for 2nd round applications only

Kwa wale waliopitia NACTE,, Nawashauri pia muwe mnaangalia email zenu mara kwa mara, mara nyingi Nacte hutoa taarifa zinazokuhusu kupitia email zenu,, ila kwa wale wa tcu direct ni mara chache sana kupitia email na huwa hawatoi taarifa kwa email.
 
kwa secand roundi mnajua kozi ambazo zinakua zimebaki ni non priorty zote ata esucation utaitafuta kwa torch na isionekane.... Omba Mungu usipatekane katka round ya pili...!!
 
kwa secand roundi mnajua kozi ambazo zinakua zimebaki ni non priorty zote ata esucation utaitafuta kwa torch na isionekane.... Omba Mungu usipatekane katka round ya pili...!!

zilikuwepo nying tu jana, kuna mtu nilimchekia jana ingawa sikuselect manake alisema mpaka aende mwenyewe, ishu ni kuwahi tu, niliiona baed with ict udom, zilikuwepo za kutosha josiah kibira, st joseph, na vyuo vingine pia niliziona coz nyingine za priority ardhi na institution nyingine kadhaa
 
Me si nimesoma pale

Mimi mwenye nimetoka huko diploma malecture hamna kitu degree anamfundisha degree mwenzie, maprofessor hawazd watatu vice concelor n madeputy wake, phd cjui wawili huyo wa admission officer
Wenye masters wa kuhesabu

Siasa tu imetumika kuipa MUST chuo kikuu
 
Tz bwana yan wananch kama watumwa TCU presha heslb presha jkt presha tutauana jaman
 
Mi kila nikijaribu CAS link kwenye web ya TCU haifunguki tatizo mini?
 
hawa TCU wametuweza kwa kweli yani toka jana watu tuna presha tu CAS haifunguki,aaaaaaaahhhh
 
Back
Top Bottom