CAS is now open for 2nd round applications only

CAS is now open for 2nd round applications only

Wewe utakuwa msumbufu sana .siku zote ulipewa nafasi ya kucheza na system. Yenye options tano ukashindwa kuchagua .leo option moja utaweza kuchagua?. Subiri uchaguliwe.

Kwendaaa zakooo huko.Wewe NI NANI TANZANIA HII???
 
So kosa lako unaongea sababu haupo kwenye huu mchakato. As if haukuwah kupitia huko.
Yani unashangaa mwanafunzi kupaniki sababu ya CAS??
kumbuka haya ni maisha yake lazima awaze.[/QUOTE
 
Awaze nini ? Ujinga. Hiyo second round ishatangazwa?.
Au anapanikishwa.

Mkuu mm nakuona ww kama unaufahamu hafifu/mfinyu wa psychology ya wanafunzi au binadamu kawaida,

Kwanza cjawahi ona watu wanasomea ujinga,au chuo kikuu kinafundisha coze ya UJINGA,

2nd ujuaji wako wa kujua kucheza na internet au kutafuta unachokihitaji kwenye mtandao unajikuta unajuwa kila ki2 mpaka unafikia hatua ya kuwadharau wanaouliza na kutaka kufahamu kinachoendelea bila kujuwa kwamba wengine ndio wamefanya jamii forum kuwa ndio source ya information yao yeyote katka huu mchakato

Me nakushauri idea ndogo tuh, n vema ukatoka humu ndan kwenye hili jukwaa la elimu uwaachie wanaotaka infor kutoka kwa wanaojuwa

Kuliko kuendelea kuwaona watu vilaza na kuwadharau waziwazi,au badilisha jukwaa nenda kwa wale unaowaona wanajuwa kama ww au zaidi ya ww ili ugain angalau kidogo
 
Jamani,any news from CAS!! tupeane.

haya mambo ya cas ni hatar hii dunia watu hawahurumii wengine mfano mzaz anahitaji maandalizi ili mwanae aende chuo vizur lakin asipopata taarifa mapema atashindwa kumwandaa mwanae na usitegemee kila aliyeomba mkopo atapata na lazima tcu watambue sio kila mzazi anauwezo wa kumpeleka mwanae chuo wanahitaji kudunduliza kidogokidogo ili wafanikishe jamaa Watanzania tuwe na huruma ,toeni hizo post za chuo mapema ili mzaz ajiandae
 
Mkuu mm nakuona ww kama unaufahamu hafifu/mfinyu wa psychology ya wanafunzi au binadamu kawaida,

Kwanza cjawahi ona watu wanasomea ujinga,au chuo kikuu kinafundisha coze ya UJINGA,

2nd ujuaji wako wa kujua kucheza na internet au kutafuta unachokihitaji kwenye mtandao unajikuta unajuwa kila ki2 mpaka unafikia hatua ya kuwadharau wanaouliza na kutaka kufahamu kinachoendelea bila kujuwa kwamba wengine ndio wamefanya jamii forum kuwa ndio source ya information yao yeyote katka huu mchakato

Me nakushauri idea ndogo tuh, n vema ukatoka humu ndan kwenye hili jukwaa la elimu uwaachie wanaotaka infor kutoka kwa wanaojuwa

Kuliko kuendelea kuwaona watu vilaza na kuwadharau waziwazi,au badilisha jukwaa nenda kwa wale unaowaona wanajuwa kama ww au zaidi ya ww ili ugain angalau kidogo

Kweliii mkuu huyo jamaa ni mshenz
 
Back
Top Bottom