mkuu unaongelea nacte au tcu, manake tcu haipatikani af ata jana sikuiona hiyo ishu ya validate, kwa waliochaguliwa sehemu ya selection ilikuwa ina "provisionally selection result" na waliotakiwa kufanya 2nd round kulikuwepo na option pembeni ya "make 2nd round application" pia kwa tcu programme zote hazikuonekana kwa waliopata selection na ata waliokosa
Kuna yyte ambaye akiingia cas inakubali??
System mbona inazingua au wameifunga.
Sasa mtu anabisha hata taarifa zikizotoka TCU, Watu tumeenda jana tukapewa hizo taarifa.
ahah__ aya mambo acheni tu..!!Wewe utakuwa msumbufu sana .siku zote ulipewa nafasi ya kucheza na system. Yenye options tano ukashindwa kuchagua .leo option moja utaweza kuchagua?. Subiri uchaguliwe.
Yes,mkuu upo sahih kabsa watz wasumbuf na ndomana wameamua kufanya hvyo.Kazi yako kama mwanafunzi ilikwishaisha. Now ni kazi ya tume.hivyo unapaswa kuwa mvumilivu.. pia tumegundua wanafunzi wengi hamjui lugha. Na pia mna papara nyingi. Nahisi wengi mnasomea ujinga..
Narudi kukujibu swali lako LA system kufungwa. Ni kuwa system haijafungwa rejea tcu.go.tz ipo on.
Walichoamua ni kuzima page inayoitwa cas.TCU.go.Tz/login. Ili kuondoa jam .kazi zingine ziendelee.
pia tumegundua wanafunzi wengi hamjui lugha. Na pia mna papara nyingi. Nahisi wengi mnasomea ujinga..
Narudi kukujibu swali lako LA system kufungwa. Ni kuwa system haijafungwa rejea tcu.go.tz ipo on.
Walichoamua ni kuzima page inayoitwa cas.TCU.go.Tz/login. Ili kuondoa jam .kazi zingine ziendelee.
Wadau leo cas kuna mabadiliko au