Mkuu kweli?
Mkuu wamesema watachia lini mtandao na hayo majina?Nimeongea na jamaa yangu hapo TCU anasema wana update admitted names..
Mkuu wamesema watachia lini mtandao na hayo majina?
kuanzia jumatatu
daah wanakata kama CCM -mwenzenu wamenkata npen ushaur-
TCU Katika ubora wake yani ni shida tokea jana cas aifunguki
CAS imefunguka......!
we imefunguka saa ngapi aisee, server zao yan zinakupa access wewe tu?
Ochu@"mm mpaka nashndwa nfanyeje"
tusubiri tu, sio rahis kujizua kuwa na wasiwasi, so tufanye kumuamini tu aliyesema mpaka j3
Ochu@"mm mpaka nashndwa nfanyeje"
Natoa angalizo tcu na nacte nawapa siku mbili site ya cas iwe imefunguka lsivyo nafanya maamuzi magumu ntaitisha press conference na kuamia lasmi act wazalendo
Natoa angalizo tcu na nacte nawapa siku mbili site ya cas iwe imefunguka lsivyo nafanya maamuzi magumu ntaitisha press conference na kuamia lasmi act wazalendo