athumani chabruma
Member
- Jul 29, 2015
- 20
- 0
maana kuna wengine wanadai wameachia majina nipeni ukweli wadau
maana kuna wengine wanadai wameachia majina nipeni ukweli wadau
mbaka lini
Muda mwingine ni bora kuficha ujinga
wadau mm programu zote nimeandikiwa validate program sasa sijaelewa nielewesheni
ok ila nilienda internet cafe wakasema ipo sawa
wadau mm programu zote nimeandikiwa validate program sasa sijaelewa nielewesheni
Second round tayari au
oyoooo cas inafunguka kuanzia sa 6:00 ha sa 8:00
mbona hata haijafika umejuaje mkuu, au jana we ulifanikisha?