(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?
This riddle comprises paradoxical sentences which are contradicting each other,therefore you can't judge this riddle.(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?
Hata kuku wanajua jibu ni CHADEMA!Wote wapo sahihi kwa kusema ukweli. John asingeweza kusema mazuri ili adanganye kuhusu James na tabia ya James kutokana na maelezo ya John atakua amesema ukweli.
Wee jamaa na changamoto zako aiseee...mara hisabati mara sijui John na James sasa sijui unaleta lipi tena?? ccm ni chama cha mapinduzi na chadema ni chama cha demokrasia, kipi chama kinachojali wananchi?? Jibu sasa na wewe.
(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?