Can you judge this?

Can you judge this?

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?
 
(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?

wote ni waongo
 
wote ni waongo
kama wote ni waongo basi vice versa is true,JAMES si mkweli kama alivyosema JOHN na JOHN si mwongo kama alivyosema JAMES.Then kwa mujibu wa jibu lako JAMES ni mkweli na JOHN ni mwongo!
 
(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?
This riddle comprises paradoxical sentences which are contradicting each other,therefore you can't judge this riddle.
 
Kila mmoja ni mkweli na mwongo kwa nafsi yake.
 
Wote wapo sahihi kwa kusema ukweli. John asingeweza kusema mazuri ili adanganye kuhusu James na tabia ya James kutokana na maelezo ya John atakua amesema ukweli.

Wee jamaa na changamoto zako aiseee...mara hisabati mara sijui John na James sasa sijui unaleta lipi tena?? ccm ni chama cha mapinduzi na chadema ni chama cha demokrasia, kipi chama kinachojali wananchi?? Jibu sasa na wewe.
 
Wote wapo sahihi kwa kusema ukweli. John asingeweza kusema mazuri ili adanganye kuhusu James na tabia ya James kutokana na maelezo ya John atakua amesema ukweli.

Wee jamaa na changamoto zako aiseee...mara hisabati mara sijui John na James sasa sijui unaleta lipi tena?? ccm ni chama cha mapinduzi na chadema ni chama cha demokrasia, kipi chama kinachojali wananchi?? Jibu sasa na wewe.
Hata kuku wanajua jibu ni CHADEMA!
 
(a)JOHN alipoulizwa kuhusu JAMES alijibu,"JAMES ni mtu mkweli daima". (b)JAMES alipoulizwa kuhusu JOHN alijibu,"JOHN ni mtu mwongo daima. Hebu toa hukumu,kati ya JAMES na JOHN nani mkweli na nani ni mwongo?

inategemea swali limeulizwa na nani na kwa madhumuni gani, inawezekana wote wakawa wakweli.
 
Jibu lake linategemea wewe ni shabiki wa chama gani...! CHADEMA, CCM au CUF?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom