Fundi Umeme na Jamaa wa TANESCO nani yupo sahihi?

Fundi Umeme na Jamaa wa TANESCO nani yupo sahihi?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,783
Reaction score
136,820
Wawili hawa wametofautiana pakubwa sana kuhusu kiwango cha kuingiza umeme. Fundi umeme anasema single phase, mtu wa TANESCO ameshangaa sana, anasema huu mjengo ni mkubwa unawekaje single phase? Anasema iwe three phase. Nani mkweli hapa

Matumizi makubwa
AC 2 master na sitting room
Heater 3; kwenye vyoo viwili na sink la kunawia dining
Fence ya umeme
Geti la remote
Mashine ya kati ya kuchakata chakula cha mifugo
Motor ya kupandisha maji kwenye tank
Jiko la Umeme
Mashine za kufulia nguo 2
Pasi ya mvuke
Friji 2
Feni kwa vyumba 3,na sebule

Matumizi ya kawaida
Taa takribani 30
Socket takribani 30
CCTV camera
 
Kwanza fahamu tofauti ya 3phase na Single Phase
Kila phase inabeba kiwango cha umeme sawa kutoka kwenye Transformer na hakuna sehemu zinaungana kuongeza nguvu ya umeme kwa kifaa husika

Single Phase ikifika kwenye Main switch yenyewe italisha MCB zote i.e Sockets, Taa, AC na kadhalika

3 Phase ikifika kwenye Main Switch yenyewe unaweza kugawanisha
Phase 1 Ilishe AC
Phase 2 Ilishe Sockets
Phase 3 Ilishe Taa
Na hapa phase moja ikipata hitilafu basi hizo nyingine zinaendelea na Supply
I.E phase iliyolisha MCB za AC ikikosa umeme basi Sockets na Taa zitaendelea kufanya kazi

Cha kuzingatia ni Aina (ukubwa) wa waya na kifaa kinachoenda kutumika
Umeme wa Tanzania ni 220V
Na vifaa vingi ni Labled 220v - 240v kuruhusu fluctuation
Ila kuna kitu kinaitwa Watts W
Hii ndio upelekea kifaa kutumia umeme zaidi
Waya wa Taa 1.5mmya 5watts hauwezi kusupply AC yenye 1000watts
Hii waya itapata moto ba kupelekea kuungua (kuwaka moto)
Funga 3Phase kama kwako kuna changamoto ya umeme kukatika katika kwa Phases
Funga single phase kama umeme ukikata unakata line zote pia Kwenye wiring
1.5mm Taa
2.5mm Socket’s
4mm AC
6mm Oven
 
Kwanza fahamu tofauti ya 3phase na Single Phase
Kila phase inabeba kiwango cha umeme sawa kutoka kwenye Transformer na hakuna sehemu zinaungana kuongeza nguvu ya umeme kwa kifaa husika

Single Phase ikifika kwenye Main switch yenyewe italisha MCB zote i.e Sockets, Taa, AC na kadhalika

3 Phase ikifika kwenye Main Switch yenyewe unaweza kugawanisha
Phase 1 Ilishe AC
Phase 2 Ilishe Sockets
Phase 3 Ilishe Taa
Na hapa phase moja ikipata hitilafu basi hizo nyingine zinaendelea na Supply
I.E phase iliyolisha MCB za AC ikikosa umeme basi Sockets na Taa zitaendelea kufanya kazi

Cha kuzingatia ni Aina (ukubwa) wa waya na kifaa kinachoenda kutumika
Umeme wa Tanzania ni 220V
Na vifaa vingi ni Labled 220v - 240v kuruhusu fluctuation
Ila kuna kitu kinaitwa Watts W
Hii ndio upelekea kifaa kutumia umeme zaidi
Waya wa Taa 1.5mmya 5watts hauwezi kusupply AC yenye 1000watts
Hii waya itapata moto ba kupelekea kuungua (kuwaka moto)
Funga 3Phase kama kwako kuna changamoto ya umeme kukatika katika kwa Phases
Funga single phase kama umeme ukikata unakata line zote pia Kwenye wiring
1.5mm Taa
2.5mm Socket’s
4mm AC
6mm Oven
Japokuwa kutoa ushauri mzuri ni mpaka mtu aone wirering, ukubwa (ulaji)wa vifaa utakavyotumia na future plans zako, lakini 3 phase is the best choice.
 
Kwanza fahamu tofauti ya 3phase na Single Phase
Kila phase inabeba kiwango cha umeme sawa kutoka kwenye Transformer na hakuna sehemu zinaungana kuongeza nguvu ya umeme kwa kifaa husika

Single Phase ikifika kwenye Main switch yenyewe italisha MCB zote i.e Sockets, Taa, AC na kadhalika

3 Phase ikifika kwenye Main Switch yenyewe unaweza kugawanisha
Phase 1 Ilishe AC
Phase 2 Ilishe Sockets
Phase 3 Ilishe Taa
Na hapa phase moja ikipata hitilafu basi hizo nyingine zinaendelea na Supply
I.E phase iliyolisha MCB za AC ikikosa umeme basi Sockets na Taa zitaendelea kufanya kazi

Cha kuzingatia ni Aina (ukubwa) wa waya na kifaa kinachoenda kutumika
Umeme wa Tanzania ni 220V
Na vifaa vingi ni Labled 220v - 240v kuruhusu fluctuation
Ila kuna kitu kinaitwa Watts W
Hii ndio upelekea kifaa kutumia umeme zaidi
Waya wa Taa 1.5mmya 5watts hauwezi kusupply AC yenye 1000watts
Hii waya itapata moto ba kupelekea kuungua (kuwaka moto)
Funga 3Phase kama kwako kuna changamoto ya umeme kukatika katika kwa Phases
Funga single phase kama umeme ukikata unakata line zote pia Kwenye wiring
1.5mm Taa
2.5mm Socket’s
4mm AC
6mm Oven
Mkuu nimependa sana hitimisho lako, mpaka hapo nimemuelewa fundi. Huku umeme ukikata unakata wilaya nzima
 
Unapofanya maombi ya umeme Tanesco kwenye mchoro wa umeme lazima uweke total load consumption.hii ufanya tanesco kujua wakuweke kwenye kundi gani, Single phase au 3 phase.
Sasa shida ipo kwa mkandarasi aweki matumizi sahihi ya jengo, mwisho wa siku inakuja kuwa majanga baadae.kwa kawaida mita ya single phase inakuwa na (60A-13 KW).ukizidi kwenye kiwango hiki basi iyo mita itazidiwa maana itakuwa imebeba load kubwa kuliko uwezo wake.twende sasa kwenye total consuption

(1) Air condition (18 btu)- 2.2kw×2=4.4KW
(2)Fan 3× 85w= 255 W
(3) washing mashine-2× 800w= 1.6KW
(4)water pump- 1 KW
(5)Gate motor= 500 W
(6)Bulb 30(7w×20)(15w×10)=290 W
(7) Friji- 800W
(8) Pasi- 2kw
(9) heater-3× 2Kw= 6KW
(10) Mashine ya kuchanganyia chakula-650W
(11) vifaa vingine vya ziada-1KW
(12) Free space -1KW
Total load consuption - 19.5KW
Mita aina maisha marefu na pia bill lazima iwe kubwa
 
Mimi ni fundi umeme mwenye uzoefu wa electrical installation ,single phase, three phase ufungaji wa nyumba troubleshooting motor control na star-delta. Napatikana Dodoma . Mwenye kazi au connection yoyote naomba naomba an- PM au awasiliane nami kwa no. 0659297719
 
Mimi ni fundi umeme mwenye uzoefu wa electrical installation ,single phase, three phase ufungaji wa nyumba troubleshooting motor control na star-delta. Napatikana Dodoma . Mwenye kazi au connection yoyote naomba naomba an- PM au awasiliane nami kwa no. 0659297719
Watakuja mkuu , usijali cha muhimu mawasiliano tu
 
Back
Top Bottom