Can a single mother teach her son how to be a man?

Can a single mother teach her son how to be a man?

ni tatizo mtoto apati nafasi ya kujijua wazazi wanawpollute tena makusudi , nasema makusudi
Ulichosema ni kweli, binafsi naona inawezekana lakini ni wachache. Mtoto awe wa kiume au kike anahitaji malezi ya wazazi wote.
Kihalisia kwa siku za leo watoto ni kama wanalelewa na single parent (mother), ikiwa baba unatoka nyumbani saa 12 asubuhi na kurudi nyumbani saa 2 usiku watoto wameisha lala katika suala la malezi huesabiki kama baba, being a man siyo kazi ya mchezo.

Swali kwa wadau:
A single father can teach his daughter to be a woman?
 
Ulichosema ni kweli, binafsi naona inawezekana lakini ni wachache. Mtoto awe wa kiume au kike anahitaji malezi ya wazazi wote.
Kihalisia kwa siku za leo watoto ni kama wanalelewa na single parent (mother), ikiwa baba unatoka nyumbani saa 12 asubuhi na kurudi nyumbani saa 2 usiku watoto wameisha lala katika suala la malezi huesabiki kama baba, being a man siyo kazi ya mchezo.

Swali kwa wadau:
A single father can teach his daughter to be a woman?
kwanza hata hawalelewi na mama , ni dada wa kazi analea too sad
 
katika hili jukwaa stories za singo mama haziishi, but naona pia wanaanza kuleta maandiko matakatifu kwenye mapenzi
 
Experience shows in most cases when grown up, some tend to have low self esteem, hate fellowmen especially wale wasio na hulka ya kudekeza, maana kazoezwa kudeka, aggressive and to conclude they MIGHT not be good fathers as well; due to the early missing fatherly love needed to be set as example and guidance. Mfano, Biblia inatuambia, Daud alielekezwa na baba yake kuwafuatilia ndugu zake maporini na nyikani na huko akakutana na Goliath! Halafu kutoka hapo akawa shujaa! Anyway, all these depend mainly on those well known factors like genetics, environment and education. Unaweza aghalabu kumpeleka kwa mjomba, majirani wazuri nk. Rejea kitabu cha Ben Carson! The Gifted Hand
 
Ni bahati inategemeana na huyo single mother kama anajielewa.
 
Well, single mothers can teach their sons how to become men long as there's a presence of male figures around, be it uncles, grandpas, or boyfriends, coz a boy will definitely need a man's guidance every now and then to become one.
 
Yeah my mummy is a single mother and she taught at me to be a real man Me too
 
Mimi nimelelewa kijijini kabisa na poor woman but responsible, caring, teacher, hardworking, inspirational and tough. Mamangu aliniambia, kuwa uwe mwanaume unayejali familia yako hasa mkeo na watoto wako. Jifunze maisha anayoishi mamako yasije yakatokea kwa mkeo na watoto wako. Alinifundisha kufanyakazi sana na kujitegemea. Kila week end ni jembe sana. Mwanzoni nilidhani ananionea nilipokuwa naanza kupata akili nilianza kumuelewa na kumuonea huruma kuwa mama anahitaji msaada wangu sana. Nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa niuza ndizi za kuchoma na kachumbari some of the week end sokoni. Siku za kawaida nilikuwa nikitengeneza ufuta nauviringisha na sukari nauza kwa wenzangu shule. Nakili ni kwamba I was a brilliant and intelligent kid, nilipokua sekondari one to six, kwetu tunalima sana mpunga, nilikuwa nikirudi shule navuna mpunga, nakoboa napeleka Dar kwaajili ya kuuza kwa kina mamantilie kisha nanunua mahitaji yangu ya shule kama begi, madaftari, nguo, sabuni na kuweka akiba ya kutumia shuleni. Haya yote. mamangu ndivyo alivyokuwa akinifundisha. Leo hii. siwezi kumpiga jiwe Mungu, I am successful man and I will be more than who I am today bila kusahau foundation yake kuwa ni mama tu. Hivyo inawezekana kabisa mama kuwa mwalimu bora kama mamangu alivyokuwa. Katika utu uzima wangu siku moja nilikuwa namshukuru mama kwa yote aliyonifanyia na kunifanya kuwa nilivyo leo, akaniambia sio mimi peke yangu na wewe pia umechangia kuwa hivyo kwakuwa nilichokuwa nakuambia kifanye ulikifanya na nilichokukataza ulikiacha kwahiyo mchango wangu na wako umekufanya wewe kuwa ulivyo leo.
Habari yako imenigusa sana usimsahau mama aiseee sometimes changamoto zinatujenga Mungu akuinue zaidi
I have no doubt that I am the best man, responsible father and caring husband who raised-up by my mom only. My success is an outcome of her amazing teachings and care. Tabu zinazompata mamako katika kukukuza zinakufanya umuonee huruma na kuapa kutorudia makosa yaliyofanywa na babako katika kukutelekeza. There is a lesson to lean from this. So, yes, we are out there, a number of us.

Labda hapo unamzungumzia mzazi mwenzio sasa ila sio kwetu sisi wengine

Pitia uzi wako vizuri
 
If his father wasn't a man enough to be with his family for better or for worse, how can his son be?

Like father like son. It's never otherwise.
 
Mbaya ni mtoto wa kiume kulelewa na single mother halafu geti kali....ni hatari.

Ila kama sio geti kali ujue mtoto analelewa na mama yake plus jamii inayomzunguka hivyo hakutakuwa na tatizo sana na kama litakuwepo basi ni kwa kiasi kidogo.

NOTE: Kuna watoto pia wanalelewa na wazazi wote wawili lakini mzazi mmoja hasa baba akawa busy na mambo yake pasipo kupata muda wa ku interact na watoto wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom