DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Wazazi wote wana umuhimu mkuuSwali ni je, baba hana umuhimu katika malezi ya mtoto?
Japo mimi binafsi sjalelewa na wazazi wangu
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Wazazi wote wana umuhimu mkuuSwali ni je, baba hana umuhimu katika malezi ya mtoto?
Malezi ya sasa naona ni bora kuliko ya zamani, zamani wazazi walikuwa wanazaa watoto wengi kwa kuacha space ndogo sana, kiasi mtoto ndogo hapati care ya kutosha, umasikini ulifanya mama awe busy na kutafuta chakula na kusahau matatizo ya mtoto,Mie sina shida na malezi ya those days....ila kwa miaka hii naona kama the way watoto wanavyolelewa kidogo kuna utata kwa baadhi ya familia and of course nimeshuhudia pia humu humu kwenye mafamilia yetu
Ana umuhimu kwa asilimia 85Swali ni je, baba hana umuhimu katika malezi ya mtoto?
Kweliii kabisaaThough am not single but the answer is YES ..….!!
Mama hakuna kitu kinamshinda, anayajua yote na kati ya hayo yote hunchavulia mwanae kilicho bora na chema,hivyo tunaweza si tu kuwatengeneza wawe wanaume,Bali wawe wanaume wanaojali
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria kwa makini nimetumia fumbo kusema chipsKwani kula chips ni uanauke..??
Jarida lipi limeandika chips ni kwa jinsia flani tu...?
post using my macbook air using jamiiforums app
Malezi gani bora ?Malezi ya sasa naona ni bora kuliko ya zamani, zamani wazazi walikuwa wanazaa watoto wengi kwa kuacha space ndogo sana, kiasi mtoto ndogo hapati care ya kutosha, umasikini ulifanya mama awe busy na kutafuta chakula na kusahau matatizo ya mtoto,
ila sasa watoto wanalelewa vizuri ukilinganisha na enzi hizo
Sasa mmoja anapokuwa hayupo mwingine ni dhahiri hawezi kukamilisha ambacho ambaye hayupo angeweza kukiongeza kwa mtoto.Wazazi wote wana umuhimu mkuu
Japo mimi binafsi sjalelewa na wazazi wangu
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Familia ngapi zimeyumba au kuangamia baba akifarikiSwali ni je, baba hana umuhimu katika malezi ya mtoto?
Kwa mjini lakini na maeneo ambayo baadhi wameelimika...vingenevyo ukichukua kwa ujumla wake utaona watu bado wanafyatua kama kawa japokuwa angalau kwa kiasi flani hali imebadirika nakubariana na weweMalezi ya sasa naona ni bora kuliko ya zamani, zamani wazazi walikuwa wanazaa watoto wengi kwa kuacha space ndogo sana, kiasi mtoto ndogo hapati care ya kutosha, umasikini ulifanya mama awe busy na kutafuta chakula na kusahau matatizo ya mtoto,
ila sasa watoto wanalelewa vizuri ukilinganisha na enzi hizo
Yeah, bora kuliko ya kuwashindisha nyumbani na njaa au kwenda nao sokoni, au baaMalezi gani bora ?
haya ya kumpeleka mtoto akakulie kwenye day care
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Sijaona hoja zako na mifano halisiMalezi ya sasa naona ni bora kuliko ya zamani, zamani wazazi walikuwa wanazaa watoto wengi kwa kuacha space ndogo sana, kiasi mtoto ndogo hapati care ya kutosha, umasikini ulifanya mama awe busy na kutafuta chakula na kusahau matatizo ya mtoto,
ila sasa watoto wanalelewa vizuri ukilinganisha na enzi hizo
Asilimia sina uhakika nazo...Ana umuhimu kwa asilimia 85
Lakini malezi mazuri ya mtoto yanaenda mbali zaidi ya kulelewa na baba na mama, hata mazingira tunayoishi yana determine tuwe watu wa aina ganiSasa mmoja anapokuwa hayupo mwingine ni dhahiri hawezi kukamilisha ambacho ambaye hayupo angeweza kukiongeza kwa mtoto.
Mimi mwenyewe nimekua na Baba karibia maisha yangu yote.
That's my point, kuna improvementKwa mjini lakini na maeneo ambayo baadhi wameelimika...vingenevyo ukichukua kwa ujumla wake utaona watu bado wanafyatua kama kawa japokuwa angalau kwa kiasi flani hali imebadirika nakubariana na wewe
Ushoga umekuwepo miaka mingi sana na sio kweli kua sababu ni miaka ya hivi karibuni ya watoto kuzaliwa na kulelewa na mama peke yake.Hapana kwa kweli. Siku hizi kuna vijana mashoga wengi ukichunguza utakuta wametola single mom
Pitia uzi wako vizuriSijaona hoja zako na mifano halisi
Exactly.Lakini malezi mazuri ya mtoto yanaenda mbali zaidi ya kulelewa na baba na mama, hata mazingira tunayoishi yana determine tuwe watu wa aina gani
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Hapana Big NoUshoga umekuwepo miaka mingi sana na sio kweli kua sababu ni miaka ya hivi karibuni ya watoto kuzaliwa na kulelewa na mama peke yake.
Kuna sababu nyingi zinachangia mtu kua shoga na sio malezi peke yake, kuna hormonal imbalances ambazo hazitokani na malezi bali genetic disorder.