lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Prove it
Hapana kwa kweli. Siku hizi kuna vijana mashoga wengi ukichunguza utakuta wametola single momA lot of good men out there were raised by single moms.
Kua mwanaume bora kwa mwanamke wako hakutokani na malezi ya baba na mama tu, kuna sababu nyingi.
Unaweza kulelewa na mama peke yake au baba peke yake au wote baba na mama na ukawa mwanaume bora au kinyume chake pia ni sahihi.
Like how. How mnaowafundisha kula chips
Hahaaa hao hao Kwan si wanaumeLike how. How mnaowafundisha kula chips
Mwanaume unakulaje chips kama chakula then unalala
Mbona nyie wa bongo ndo mnaongozaMwanaume unakulaje chips kama chakula then unalala
Samahani mkuu hapa nimeongelea masingle wale ambao hawakuolewa kwani ndio wanaoongelewa sanaTaratibu mkuu,si kila single parent hakuolewa au kuoa,mungu pia anayake.vp kama amedanja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana sana utakuta ametokea single mom au ametokea familia ambayo mwanamke ndio kichwa cha familia
Usijali mkuu,mtoto hachagui pa kuzaliwa.So inawezekana sana tu ukawa bora with single parent.Samahani mkuu hapa nimeongelea masingle wale ambao hawakuolewa kwani ndio wanaoongelewa sana
Wala amna ila ni malazi tuuSana sana utakuta ametokea single mom au ametokea familia ambayo mwanamke ndio kichwa cha familia
Anaweza kuwa okey ila angalia ni kwa asilimia ngapi watoto ho wanakua na shida kati ya 10 ni wangapiSi mara moja naskia watoto wa kiume au wa kike wanakashfiwa.... nyie watoto mliolelewa na mama mnashida.
Ila nimekua na watoto wa aina hiyo mbona wapo poa.
Perhaps.Anaweza kuwa okey ila angalia ni kwa asilimia ngapi watoto ho wanakua na shida kati ya 10 ni wangapi