Can a single mother teach her son how to be a man?

Can a single mother teach her son how to be a man?

A lot of good men out there were raised by single moms.

Kua mwanaume bora kwa mwanamke wako hakutokani na malezi ya baba na mama tu, kuna sababu nyingi.

Unaweza kulelewa na mama peke yake au baba peke yake au wote baba na mama na ukawa mwanaume bora au kinyume chake pia ni sahihi.
Kwa kizazi chetu wahenga...lakini wa miaka hii kizazi cha facebook...closeness na mama mpaka dogo anafika form 4 (kama picha inavyojieleza ndivyo life ya siku hizi inakwenda mpaka kijana anakuwa mkubwa)...maana kuna tofauti kati ya KUFUGA na KULEA ...kwa miaka hii ni kama TUNAFUGA
 
Kwa kizazi chetu wahenga...lakini wa miaka hii kizazi cha facebook...closeness na mama mpaka dogo anafika form 4 (kama picha inavyojieleza ndivyo life ya siku hizi inakwenda mpaka kijana anakuwa mkubwa)...maana kuna tofauti kati ya KUFUGA na KULEA ...kwa miaka hii ni kama TUNAFUGA
nimenuniwa kisa nilisema wewe unafuga watoto mpaka leo siongeleshwi ila kiukweli wazazi wengi wa sasa hudhani ndiyo malezi bora kumbe wanapoteza muelekeo wa mtoto
 
Saa nyingine watt wenyewe tu akili zao zinakuwa hovyo mtu analelewa vzr anapewa kila kitu lkn bado anaharibika
Hapana watoto hawana tatizo ni akili za mzazi zinatakiwa zibadilike tuu kutokana na mazingira. Mlee mtoto katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokuwa mzee
 
Though am not single but the answer is YES ..….!!
Mama hakuna kitu kinamshinda, anayajua yote na kati ya hayo yote hunchavulia mwanae kilicho bora na chema,hivyo tunaweza si tu kuwatengeneza wawe wanaume,Bali wawe wanaume wanaojali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I have no doubt that I am the best man, responsible father and caring husband who raised-up by my mom only. My success is an outcome of her amazing teachings and care. Tabu zinazompata mamako katika kukukuza zinakufanya umuonee huruma na kuapa kutorudia makosa yaliyofanywa na babako katika kukutelekeza. There is a lesson to lean from this. So, yes, we are out there, a number of us.
5b313b3bdbc121e28e90732a1ccb6cc2.jpg
 
Sio lazima ulelewe na mama.

hata wale waliachwa na wazazi wao wakiwa bado INFANTS wanaweza kuwa Men kutegemea mazingira yao wanayokulia

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa yaani tunawapenda watoto ni kweli lakini tusiwatumie kama mapambo...sometime tunatakiwa kuwapeperushia bendera nusu mlingoti na kuongeza kupandisha juu kadri anavyozidi kukua ili mwisho wa siku aweze kusimama mwenyewe
tunasahahu ya kuwa hawatakuwa watoto milele
 
Kwanini ashindwe? Regardless kua single mother au a wife sidhani kama baba anashiriki sana kwenye makuzi ya mtoto tena wa kiume.

Mrs Van
Ishia hapohapo...baba tuna mchango mkubwa sana
 
Back
Top Bottom