Afadali, tena nilikuwa natafuta chumba cha kupanga muda mrefu, na karibu vyote vilikuwa vimejaa, labda sasa hivi nitapata manake najua huyu jamaa mwenye nyumba atakuwa anatafuta mpangaji mpya!
Afadali, tena nilikuwa natafuta chumba cha kupanga muda mrefu, na karibu vyote vilikuwa vimejaa, labda sasa hivi nitapata manake najua huyu jamaa mwenye nyumba atakuwa anatafuta mpangaji mpya!
Nimesikitika kwa kweli, na toka mwezi wa 6 mwaka huu nimeshaguswa/sikia vifo vya vijana wadogo kwa ajali kama vitatu najua how much it hurts, pole kwa wafiwa, simjui ila imenigusa.