Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

Afu pale lazma tulkua ote maana si watu walkua wachache ile saa 2
vipi mmeshaanza induction? Mlikutana na mtu anaitwa Mbogo pale hospitali? au Dr mlay?
Mkikutwa na ngoma hamna ajira, ndio maana bado hamjapewa barua za ajira hadi sasa.
 
namkumbuka mlay, jina so geni, ayo mengine yaache
vipi mmeshaanza induction? Mlikutana na mtu anaitwa Mbogo pale hospitali? au Dr mlay?
Mkikutwa na ngoma hamna ajira, ndio maana bado hamjapewa barua za ajira hadi sasa.
 
nilkuaga nawaskia wasomi, jamaa wana speech za kisomi yaani unaelewa mpaka unaisi umeingia ulimwengu mwingine,
 
umenena
Hapo wanapachikana kwanza then ndio wawaite na mtaona,

utumishi hawatatoa majina hayo ila wenyewe tpa watawapigia watu CM direct ya kuwa wamefanikiwa kupata kazi.

Haya mshirika mengine yanatumia utumishi km sehemu ya kuzuga tu kwa mkuu ili waonekane wanafuata process kihalali.
 
Hapo wanapachikana kwanza then ndio wawaite na mtaona,

utumishi hawatatoa majina hayo ila wenyewe tpa watawapigia watu CM direct ya kuwa wamefanikiwa kupata kazi.

Haya mshirika mengine yanatumia utumishi km sehemu ya kuzuga tu kwa mkuu ili waonekane wanafuata process kihalali.
man yaani saivi ongelea kwinigine, saivi watu tumeenda tpa ata hatumjui mtu, yaani full shangwe, saivi hamna kubebana, watu wameingia tu mpaka saivi hawaamini, na mm nkiwemo,
 
Hapo wanapachikana kwanza then ndio wawaite na mtaona,

utumishi hawatatoa majina hayo ila wenyewe tpa watawapigia watu CM direct ya kuwa wamefanikiwa kupata kazi.

Haya mshirika mengine yanatumia utumishi km sehemu ya kuzuga tu kwa mkuu ili waonekane wanafuata process kihalali.

Ni hivi Mkuu na kwa wengine .
TPA kwa mujibu wa Sheria yake ,waajiriwa wake lazima kabla ya kuajiriwa
wathibitishwe na Bodi ya TPA.
Hivyo basi kwenye mchakato wa ajira za TPA ,kupitia Sekretarieti ya Ajira, inachotokea baada ya Sekretarieti ya ajira kukamilisha mchakato wote wa ajira na kuchagua waliofauli usaili ,sekretarieti ya ajira inawapelekea TPA majina hayo ambapo TPA inapeleka majina hayo kwenye Bodi yao ili iyabariki (huo ni utaratibu tu wa kisheria) kwani kwa mujibu wa Sheria ya TPA Bodi ndiyo inaajiri, hapa Bodi inayabariki tu hayo majina haiwezi kuongeza au kupunguza jina.
Bodi ikishapitisha/kubariki majina hayo TPA inatoa taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira ili watu hao watangazwe kwenye website kama kuna ulazima.(wanaopangiwa nafasi za uongozi hawatangazwagi).
Sasa kinachotokea unakuta Bodi imeshapitisha majina na Menejiment imeanza kuwaita watu kuripoti kazini lakini Sekretarieti inakuwa imechelewa kubandika tangazo,
mara nyingi huu uchelewaji unakuwa wa muda mchache, mfano unaweza kuta TPA imeanza kuwapigia watu simu waripoti kwa ajili ya taratibu za kukamilisha ajira kuanzia asubuhi, ila Sekretarieti ya ajira itaweka kwenye website majina hayo jioni.
Kimsingi TPA hawawezi kuongeza wala kupunguza mtu kenye ajira iliyofanywa na Sekretarieti,
Let say hata ikitokea mtu kapangiwa kazi na Sekretarieti lakini hajataka kuripoti au anakuja kuripoti na kuondoka labda hajaridhika na maslai TPA haiwezi kuweka mtu mwingine, Inawasiliana na Sekretarieti ya Ajira ndio wataleta replacement.
Kwa sasa ajira za TPA hazipo kiujanjaujanja kama zamani ambapo watu walikuwa wanaleta ndugu zao ndio maana TPA kila bosi ana ndugu yake pale, TPA kuna ndugu wengi sana ambao waliingiza na kiujanjaujanja huko nyuma.
 
Ni hivi Mkuu na kwa wengine .
TPA kwa mujibu wa Sheria yake ,waajiriwa wake walizama kabla ya kuajiriwa
wathibitishwe na Bodi ya TPA.
Hivyo basi kwenye mchakato wa ajira za TPA ,kupitia Sekretarieti ya Ajira, inachotokea baada ya Sekretarieti ya ajira kukamilisha mchakato wote wa ajira na kuchagua waliofauli usaili ,sekretarieti ya ajira inawapelekea TPA majina hayo ambapo TPA inapeleka majina hayo kwenye Bodi yao ili iyabariki (huo ni utaratibu tu wa kisheria) kwani kwa mujibu wa Sheria ya TPA Bodi ndiyo inaajiri, hapa Bodi inayabariki tu hayo majina haiwezi kuongeza au kupunguza jina.
Bodi ikishapitisha/kubariki majina hayo TPA inatoa taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira ili watu hao watangazwe kwenye website kama kuna ulazima.(wanaopangiwa nafasi za uongozi hawatangazwagi).
Sasa kinachotokea unakuta Bodi imeshapitisha majina na Menejiment imeanza kuwaita watu kuripoti kazini lakini Sekretarieti inakuwa imechelewa kubandika tangazo,
mara nyingi huu uchelewaji unakuwa wa muda mchache, mfano unaweza kuta TPA imeanza kuwapigia watu simu waripoti kwa ajili ya taratibu za kukamilisha ajira kuanzia asubuhi, ila Sekretarieti ya ajira itaweka kwenye website majina hayo jioni.
Kimsingi TPA hawawezi kuongeza wala kupunguza mtu kenye ajira iliyofanywa na Sekretarieti,
Let say hata ikitokea mtu kapangiwa kazi na Sekretarieti lakini hajataka kuripoti au anakuja kuripoti na kuondoka labda hajaridhika na maslai TPA haiwezi kuweka mtu mwingine, Inawasiliana na Sekretarieti ya Ajira ndio wataleta replacement.
Kwa sasa ajira za TPA hazipo kiujanjaujanja kama zamani ambapo watu walikuwa wanaleta ndugu zao ndio maana TPA kila bosi ana ndugu yake pale, TPA kuna ndugu wengi sana ambao waliingiza na kiujanjaujanja huko nyuma.
umeongea point, director general (D.G), alisema hawezi kuweka mtu, ata kama ni mtoto wa rais, alisema heri aache kazi, ila kiukweli yaani hamna mtu alopga shortcut,

Saivi mpka watu tunashangaa, aisee ata wenyewe wanasema na ayo mambo yalikuepo, unakuta kama ni abdalah juma, basi juma ni kama 10 tpa, ila saivi hamna upendeleo, connection ni kukaza usaili
 
vipi mmeshaanza induction? Mlikutana na mtu anaitwa Mbogo pale hospitali? au Dr mlay?
Mkikutwa na ngoma hamna ajira, ndio maana bado hamjapewa barua za ajira hadi sasa.

Hamna kitu kama iko, Acha kumtisha mwenzio... kuna intake iliingia pale waliokutwa na ngoma walikua nyomi tu mpka wakawa wanaiita intake ya kuzimu na kazi walipata
 
ndo maana nmemkaushia ila wanaeleza kila kitu, ko unais wanaosoma na ukimwi hawataajiriwa , pale wanachukua details za wafanyakazi wao tu
Hamna kitu kama iko, Acha kumtisha mwenzio... kuna intake iliingia pale waliokutwa na ngoma walikua nyomi tu mpka wakawa wanaiita intake ya kuzimu na kazi walipata
 
ndo maana nmemkaushia ila wanaeleza kila kitu, ko unais wanaosoma na ukimwi hawataajiriwa , pale wanachukua details za wafanyakazi wao tu
details zenyew sina uhakika kma wanazirecord naona wanatimiza wajibu tu, kama unakumbuka juzikat kwenye induction, alivyokuja dokta akasema kua nivizur kujua afya yenu ukitaka kujua afya yako njoo hospital utapimwaa,,,,sasa jiulize kwanini upimwe tena wakt ulishapima mwanzo....yn vile vipimo hawavishughulikii wala nini wanahaza tu form zile....
 
details zenyew sina uhakika kma wanazirecord naona wanatimiza wajibu tu, kama unakumbuka juzikat kwenye induction, alivyokuja dokta akasema kua nivizur kujua afya yenu ukitaka kujua afya yako njoo hospital utapimwaa,,,,sasa jiulize kwanini upimwe tena wakt ulishapima mwanzo....yn vile vipimo hawavishughulikii wala nini wanahaza tu form zile....
 
vipi mmeshaanza induction? Mlikutana na mtu anaitwa Mbogo pale hospitali? au Dr mlay?
Mkikutwa na ngoma hamna ajira, ndio maana bado hamjapewa barua za ajira hadi sasa.
Sio kweli hata mavyuoni kuna watu special wanaitwa "WATOTO WA MAMA SALMA" hawa vipi hawana haki ya kuajiriwa? Hakuna sheria inayomfanya mtu asiajiriwe eti kisa ana ngoma kuwa HIV sio tatizo ndo maana Kila chuo kuna Bango "Graduate with "A+" and not with HIV AIDS na si HIV" maana hata ukija fatilia kuna wengine waliupata toka kwa wazazi wao hivo huwezi wahukumu na kuwanyanyapaa.
 
Back
Top Bottom