Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 971
- 1,300
si ucheki website ya utumishi
Mooring hands?
Mooring hands?
🤣🤣🤣🤣🤣 wanajazana upepoMi nashangaa wanaongopeana tu hapa eti tpa kuna ela...mavi matupu huwezi amini waajiriwa wanaomba nauli kwa vibarua....ngoja waende mwenye vision hamalizi hata mwaka ajira ile anaitema
ilimradi niweze kujitegemea basi, sasa kama hamna ni mavi matupu, ko nkale mavi au .
bas kama hamna ela waiache sasa
Ilimradi niweze kujitegemea basi.......hii ndio target yako kumbe basi kapige kazi
ioView attachment TANGAZO-LA-KUITWA-KAZINI-AGOSTI-2019-TANESCO..pdfTanesco wameita nao kupitia utumishi mwenye tangazo naomba anitumie hapa nashindwa ku download.
Thanks in advance
interview mpaka kazi
Kweli tusikate tamaaAya wanangu mliopata ongeleniii mkajitume sasa kazini wengne wanangu bila kuchoka tutatoboa
nmemalza jana manoya mbona sikuoni kweny michakato ya hospital
kuna sehemu nliyumba nkacherewa vpmo
lazma mkuume mwenyew nimemaliza jana, j3 ntakuchekii si unakuja!?