CAG Ludovick Utoh aliibua madudu mengi bila kudhihaki taasisi!

Jingalao,Jingalao ni Jingalao.Sasa unatakiwa ujiulize je wakati huo wa Ludovick bunge lilifanyaje kazi?kama lilikuwa kama sasa labda Ludovick angeliita bunge lakiseng..e mana namjua mzee Ludovick ni mtata huyu Assad wawatu ni mkimnya sana na muungwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ludovick Utoh alikuwa mtata haswa na ndiye aliyeifanya ofisi hii kuwa mwiba haswa...
Good thing about Ludo aliweza kutatiza bila kuvunja heshima ya mtu au taasisi na hivyo kupelekea bunge na serikali kufanyia kazi mapungufu "madhaifu" yaliyogundulika...na hata kwenye ripoti zilizofuata ofisi ya CAG (chini ya Assad sasa)ilikiri kuwapo kwa mabadiliko chanya katika matumizi ya fedha za umma....sasa inashangaza kumsikia Assad akiwa ughaibuni akibwabwaja negatively tena kinyume na ripoti zake mwenyewe.
 
At least MADUDU yake yelifanyiwa kazi na serikali ya wapigaji ya JK ....... Ila huyu wa sasa MADUDU yake hayafanyiwi na serikali inayodai inachukia Ufisadi!!

Yaani kwa jinsi Magufuli anavyojisisifa na kusisfiwa kwa kupambana na UFISADI nilitegemea kila report za CAG zikitolewa serikali nzima inachanganyikiwa ....Yaani imekuwa ni kinyume. Bora hata wakati wa JK .............!!
Kwa wenye uelewa wa hoja za CAG mara nyingi fedha inakuwa haijaibiwa bali imetumika tofauti na bajeti au taratibu ngumu zilizopo za matumizi ya fedha(ukiritimba) ni mara chache kukuta kweli fedha zilikwapuliwa kama ilivyo kwenye ufisadi halisi anaopambana nao Magufuli.
 
Kweli utoh alikuwa bora sana sio huyu assad anafanya kazi kwa chuki dhidi ya Rais

God first
 
Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.

He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Bunge la kipindi kile lilikuwa imara,ndiyo Utoh hakulisema. La kipindi hiki ni hovyo kabisa kila mtu analisema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu yake yanafanana na mtu aliyekuwa kwenye kahawa akichangia hoja za mgahawani.Sijaona Ripoti mahsusi iliyotamka kuwa bunge hili lilionesha udhaifu katika kusimamia Serikali(naamini pia hiyo haikuwa sehemu ya kazi yake)...aliacha taaluma yake na akajipa uanasiasa sasa yote yanayojiri ni matokeo ya mtaalamu kuacha taaluma na kujivika uanasiasa.Katika ripoti yake ya 17/18 kwa Rais angeweka hiko kipengele kwenye abstract ya taarifa yake ya kuwa bunge ni dhaifu na hivyo angeshauri na hatua za kuchukuliwa dhidi ya bunge dhaifu.
Dah nasikitika kusema ww ni MPUMBAVU WA KIWANGO CHA LAMI..
 
wabunge wa ccm wanajifanya hawapendi kutusiwa kuitwa bunge lao dhaifu ilhali wao ni mambingwa wa matusi mfano mzuri ule wimbo wao wa kampeni 'waacheni waandamane, wajinga wale, ccm mbele kwa mbele' katika nchi ya democracy kama hii unaita wapinzani wanaotumia haki ya msingi kuandamana kuwa ni 'wajinga wale' tena bila hofu kipindi cha kampeni, leo hii wao wameitwa dhaifu mishipa ya shingo inawatoka na upumbavu wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo unaridhaka hayo madudu yaendelee? kweli watanzania tuna matatizo makubwa Mungu atusaidie
 
Unakumbuka ni mara ngapi ilibidi presida wa wakati huo aunde upya au kuteua upya baraza la mawaziri kwasababu ya UKALI wa wabunge? Kuna wakati Kikwete alitaka kusamehe, wabunge wakataka kichwa cha Pinda then JK akaona awaadhibu mawaziri wake? Lile ndio lilikua bunge. But again, lini huyo former CAG aliwahi kufanyiwa press na vyombo vya habari vya kimataifa? And if it was, aliulizwa nini na alijibu nini? Nakubaliana na wewe kwamba Utou alikua bora but walau kipindi chake bunge lilikua linajitambua kuliko sasa hivi. But pia huyo unae msifia ali comment hivi regarding this SAGA https://www.jamiiforums.com/threads...jawai-kutokea-toka-nchi-kupata-uhuru.1532986/
 
Back
Top Bottom