Sandinistas
JF-Expert Member
- Jul 5, 2013
- 2,609
- 1,771
trillion 1.5 imeumbua sana watu,lazima wamchukie
Na pengine zipo kashfa nyingine kubwa zaidi kuliko 1.5t na ndiyo maana watu wameamua kutengeneza mlima kutokana na kichuguu.
trillion 1.5 imeumbua sana watu,lazima wamchukie
Bila kuwa na akili za maiti ni ngumu sana kuwa mwanaccmHuyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Hivi taasisi haiwezi kuwa dhaifu kutokana na uongozi wake? Kila raia mwenye naelewa wa maana ya utawala bora anajua Bunge ni dhaifu. Sana sana humu mitandaoni kama kawaida ya zama hizi kodi yetu inatumika kutuhujumu wenyewe.Unajua Mr mimi nashindwa elewa hii kitu,taasisi uite dhaifu,itafanyaje kazi na wewe,tayari umeonyesha hawana uwezo?,Bunge kwangu Mimi liko sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinga katika ubora wake wa kijingaHuyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Utoh ni Mkristo na Assad ni ndugu yetu katika ImaniHuyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Alifanya kazi na bunge imara na ambalo llikuwa na maamuzi ya kibunge.Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Hoja hujibiwa kwa hoja sio vihojaNaona umejikaza ukaamua kutafuna jongoo kwa meno!! Ni mpumbavu sana uliyeshindwa kutetea ulichotaka tuaminisha!! Vichwa vyenu vimejaa usaha kiasi cha kucheza na hatari ya future yenu!!
Wewe ni lost case!!
bunge la wakati huo halikuwa kama hili mjomba bunge hili linaendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja ambaye ripoti ya CAG inaipaka matope sura yake mbaya aliwaminisha wapumbavu kama jingalao kuwa yeye ni MALAIKAALIWAHI KULIITA BUNGE DHAIFU?au Serikli dhaifu tena akiwa ughaibuni?
Takataka taasisiHuyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Ambayo kwa udhifu wa bunge hayakufanyiwa kazi pia sio?
Stupid you..!Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Tatizo assad anafanya kazi kipinzani..yaani ni lazima udhalilishe wengine ndio uonekane umeongea..kama chadema wanavyoamini ili demokrasia ikamilike ni kazima uachiwe utukane na udhalilishe wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidogo unataka kuleta hoja iweke sawa ili iweze kuleta maana pana zaidi..Tatizo assad anafanya kazi kipinzani..yaani ni lazima udhalilishe wengine ndio uonekane umeongea..kama chadema wanavyoamini ili demokrasia ikamilike ni kazima uachiwe utukane na udhalilishe wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app