Mzalendoasili
Member
- Aug 25, 2014
- 49
- 17
Achana nao hao wanataka kutugawa.Acha uongo, alifanyaje umma uchukie ufisadi?
Kwani huyu haibui madudu?
Kaibuwa madudu mengi sana! Bunge ndo dhaifu halichukui hatua kuhusu madudu hayo, inaonekana bunge na serikali ni kitu kimoja. Kinyume cha katiba!