Mzee Ludovick Utoh, Sasa akiongoza taasisi iitwayo wajibu, alikuwa CAG kwa miaka 8.
CAG mmoja hivi amenyooka Kama rula, akipiga kila palipostahiki pasi na kusita mradi tu maslahi ya imma yasipindishwe.
Akihojiwa na Chief Odemba wa Star TV, Jana usiku alupoulizwa Kama, ni sawa kwa Viongozi kusema raisi ametoa hela za kutekeleza mradi fulani?
Lutoh anajibu, hapana, si sawa, anasema hela ni za wananchi, za umma, bunge huidhinisha matumizi yake kwa niaba ya wananchi.
Serikali Ni wakala tu, anasimamia yakiyopitishwa/ yakiyoidhinishwa na bunge. Si sawa kubinafsisha jukumu la utoaji hela za serikali (za watu) kwa Rais, sio zake.
Kwa maana hiyo, baada ufafanuzi huo wa Mh. LUDOVICK Utoh tunategemea kuona viongozi wakianza kutumia neno, SERIKALI IMETOA HELA YA MRADI X, badala ya kutumia neno RAIS ametoa, wenye akili hutafsiri kuwa hiyo ni lugha ya kujikomba kwa Rais na kumpa Ukuu wa Uwezo kifedha ambao kimsingi sio wake yeye bali ni wa wananchi.
Jumapili njema!
CAG mmoja hivi amenyooka Kama rula, akipiga kila palipostahiki pasi na kusita mradi tu maslahi ya imma yasipindishwe.
Akihojiwa na Chief Odemba wa Star TV, Jana usiku alupoulizwa Kama, ni sawa kwa Viongozi kusema raisi ametoa hela za kutekeleza mradi fulani?
Lutoh anajibu, hapana, si sawa, anasema hela ni za wananchi, za umma, bunge huidhinisha matumizi yake kwa niaba ya wananchi.
Serikali Ni wakala tu, anasimamia yakiyopitishwa/ yakiyoidhinishwa na bunge. Si sawa kubinafsisha jukumu la utoaji hela za serikali (za watu) kwa Rais, sio zake.
Kwa maana hiyo, baada ufafanuzi huo wa Mh. LUDOVICK Utoh tunategemea kuona viongozi wakianza kutumia neno, SERIKALI IMETOA HELA YA MRADI X, badala ya kutumia neno RAIS ametoa, wenye akili hutafsiri kuwa hiyo ni lugha ya kujikomba kwa Rais na kumpa Ukuu wa Uwezo kifedha ambao kimsingi sio wake yeye bali ni wa wananchi.
Jumapili njema!