CAG Ludovick Utoh aliibua madudu mengi bila kudhihaki taasisi!

Unajuaje kuwa mtu hakuwahi chukiwa kwamfano? Hawa wanaomchukia CAG wasasa nao hawajawahi chukiwa? Watu tunataka kazi sio mapenzi we jinga
 
Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.

He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.

Labda hilo ndo lilikuwa bunge imara maana kila mtu kuanzia wapenzani walikuwa wanafly kila siku hadi yule jamaa kiuongozi wao akamlipia demu wake tiketi ya wao kukutana dubai , profesa naye naona amekuwa na kibri sana
 
Acha uongo, alifanyaje umma uchukie ufisadi?

Kwani huyu haibui madudu?

Kaibuwa madudu mengi sana! Bunge ndo dhaifu halichukui hatua kuhusu madudu hayo, inaonekana bunge na serikali ni kitu kimoja. Kinyume cha katiba!

Lakina makinda lilifanyaje cha maana
 
CAG Assad ni mwiba kwa Jiwe

Sent from my iPhone using Tapatalk

Hakuna cha assad wala Utouh ambao wameibua madudu bali wafanyakazi wa ofisi ya CAG ndo wanaoibua madudu, CAG yeye ni kusaini na huenda hata hasomi vizuri bali anaelezwa tu kilichojiri
 
Hakuna cha assad wala Utouh ambao wameibua madudu bali wafanyakazi wa ofisi ya CAG ndo wanaoibua madudu, CAG yeye ni kusaini na huenda hata hasomi vizuri bali anaelezwa tu kilichojiri
Hii ni fact muhimu mkuu
 
Tofauti kubwa iliyopo siyo kati ya Asad na Utoh bali ni kati ya JK na JPM.
 
Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.

He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Kwa hiyo huyu katukana!tatizo kuu la hapa ni unafiki,kaulizwa swali kalijibu,majibu yake ata kama ni ya kuudhi ndio ukweli huo usikieni.
 
Mmoja ni Uttoh na mwingine ni Assad, ni sawa useme yule alikuwa Vasco Da Gama na huyu awe Vasco Da gama
 
Kwani kuna mtu amemshambulia Assad kwa sababu ya ripoti yake nzuri...tatizo lipo kwa Assad mwenyewe kuropoka kwenye media..hata kama alichosema ni sahihi ila ni dharau kubwa kukebehi bunge tena kwenye vyombo vya habar...
 
Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.

He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
At least MADUDU yake yelifanyiwa kazi na serikali ya wapigaji ya JK ....... Ila huyu wa sasa MADUDU yake hayafanyiwi na serikali inayodai inachukia Ufisadi!!

Yaani kwa jinsi Magufuli anavyojisisifa na kusisfiwa kwa kupambana na UFISADI nilitegemea kila report za CAG zikitolewa serikali nzima inachanganyikiwa ....Yaani imekuwa ni kinyume. Bora hata wakati wa JK .............!!
 
Acha ku justify ujinga wako wewe.

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
Jingalao,Jingalao ni Jingalao.Sasa unatakiwa ujiulize je wakati huo wa Ludovick bunge lilifanyaje kazi?kama lilikuwa kama sasa labda Ludovick angeliita bunge lakiseng..e mana namjua mzee Ludovick ni mtata huyu Assad wawatu ni mkimnya sana na muungwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.

He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Bunge wakati huo lilikuwa bunge,cyo LA sasa. Bunge enzi hizo liliweza kumng'oa hata waziri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo huyu katukana!tatizo kuu la hapa ni unafiki,kaulizwa swali kalijibu,majibu yake ata kama ni ya kuudhi ndio ukweli huo usikieni.
Majibu yake yanafanana na mtu aliyekuwa kwenye kahawa akichangia hoja za mgahawani.Sijaona Ripoti mahsusi iliyotamka kuwa bunge hili lilionesha udhaifu katika kusimamia Serikali(naamini pia hiyo haikuwa sehemu ya kazi yake)...aliacha taaluma yake na akajipa uanasiasa sasa yote yanayojiri ni matokeo ya mtaalamu kuacha taaluma na kujivika uanasiasa.Katika ripoti yake ya 17/18 kwa Rais angeweka hiko kipengele kwenye abstract ya taarifa yake ya kuwa bunge ni dhaifu na hivyo angeshauri na hatua za kuchukuliwa dhidi ya bunge dhaifu.
 
Kama kipimo cha ubora ni kutokuchukiwa, mkuu mada yako inahamasisha unafiki nq kujipendekeza. Hata Ubora wq JPM unapimwa kwa maamuzi anayofanya yanayosababisha mabeberu na mafisadi wamchukie.
Hada inamatobo mengi nyama zake hazijitoshelezi.
 
Back
Top Bottom