CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

Wakati wa #kiza cheusi ukisema hayo aliyoyasema kicheere, ambao ndio ukweli wenyewe, huyo #kicheere Angelikuwa ameshaondolewa kitambo sana na pengine angepotezwa kabisa, ilikuwa serekali ya hovyo inayopenda sifa zisizokuwepo, eti "Tunajenga kwa nguvu zetu wenyewe Ny.....k."
 
Wakati wa #kiza cheusi ukisema hayo aliyoyasema kicheere, ambao ndio ukweli wenyewe, huyo #kicheere Angelikuwa ameshaondolewa kitambo sana na pengine angepotezwa kabisa, ilikuwa serekali ya hovyo inayopenda sifa zisizokuwepo, eti "Tunajenga kwa nguvu zetu wenyewe Ny.....k."
Mkuu hilo wale MISUKULE ya Mwendazake hawayaoni. Serikali ya Samia inafuata utawala wa sheria na iko transparent sana. Alone denoo JG na Etwege
 
Ukaguzi umebaini MSD ilitoa zabuni ya ununuzi wa vifaa vya maabara ambavyo ni vipimo vya COVID 19 kwa kampuni ambayo haikuwa mtengenezaji wa vifaa hivyo kinyume na makatwa ya zabuni, pia ilinunua vifaa hivyo bila kufuata ushauri, baada ya kufika kwa vifaa hivyo wataalamu walibaini havifai kwa matumizi yetu na tayari MSD ilikuwa imelipa fedha zote.
 
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024.


View: https://www.youtube.com/watch?v=6yQwHaO3rEA

MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA TAKUKURU CP SALUM RASHID HAMDUNI

View attachment 2946700

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), CP Salum Rashid Hamduni anawasilisha Taarifa ya Utendaji kazi wa TAKUKURU kwa Mwaka 2022/2023, Ikulu Mkoani Dodoma, leo Machi 28, 2024.

Amesema walifanya tathmini ya Miradi 1,800, walibaini Miradi 171 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 143.3 ilibainika kuwa na utekelezaji hafifu na hivyo kuanzisha uchunguzi.



Akizungumzia tatizo la Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katikati ya Makazi ya Watu linaongezeka, CP Salum Rashid Hamduni, amesema walifanya Uchambuzi kuhusu Mfumo wa Uzingatiaji wa taratibu za Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani ambapo Vituo 38 vilihusika.

Asilimia 79 ya Vituo vilivyochambuliwa vilizingatia Sheria kwa kuwa na Vibali vya Ujenzi kutoka Halmashauri ambapo Ujenzi umefanyika, Asilimia 21 ya Vituo havikuwa na leseni wakati zoezi la Ufuatiliaji linafanyika.

Pia, walibaini Ongezeko la maombi ya Ubadilishwaji wa Matumizi ya Ardhi kutoka Matumizi ya awali na kuwa Matumizi ya Vituo vya Mafuta, pamoja na tatizo la Ujenzi wa Vituo vya Mafuta katikati ya Makazi ya Watu linaongezeka na kuleta Changamoto ya Usalama wa Watu waishio karibu.

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUUU WA HESABU ZA SERIKALI, CHARLES KICHERE
Ukaguzi umebaini MSD ilitoa zabuni ya ununuzi wa vifaa vya maabara ambavyo ni vipimo vya COVID 19 kwa kampuni ambayo haikuwa mtengenezaji wa vifaa hivyo kinyume na makatwa ya zabuni, pia ilinunua vifaa hivyo bila kufuata ushauri, baada ya kufika kwa vifaa hivyo wataalamu walibaini havifai kwa matumizi yetu na tayari MSD ilikuwa imelipa fedha zote.

Mashirika ya Umma yanayojiendesha kibiashara yamepata hasara. Mwaka 2022/23, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, sawa na ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22 iliyokuwa Tsh. Bilioni 35.24. Ikumbukwe kuwa Shirika hili lilipokea ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55 kutoka Serikalini.

Shirika la reli limepata hasara ya Tsh. Bilioni 100.70 licha ya kupewa ruzuku ya Tsh. Bilioni 32.81 kutoka Serikalini.

TANOIL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 76.56, ongezeko la Bilioni 68.72 kutoka hasara ya mwaka 2021/22.

Shirika la Posta limepata hasara ya Tsh. Bilioni 1.34.

NHIF umeendelea kupata hasa kwa mwaka wa 5 mfululizo ambapo mwaka 2022/23 umepata hasara ya Tsh. Bilioni 156.77. Hata hivyo, NHIF imeikopesha Serikali Bilioni 208 ambazo hazijalipwa hadi sasa.


View attachment 2947166
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 kutoka kwa Charles Kichere Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.
View attachment 2947196
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Mwaka 2022/2023 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo CP. Salum Hamduni Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 28 Machi, 2024.​

Wakati mwingine unajiuliza huyu CAG motive ya ukaguzi hasa ni nini, kujua faida na hasara kwa maana ya cash...? Ukiwauliza wanaofanya biashara ya maduka makubwa (supermarkets) watakwambia zipo bidhaa wanalazimika kuziweka dukani kwa sababu ni za kuvutia wateja waje dukani wanunue hizo bidhaa pamoja na bidhaa zingine, au kuwa-retain waje kila mara..lakin zenyewe peke yake hazina faida yoyote ya cash! ndivyo ambavyo ATCL inafanya au TRC inafanya, sisi tuna vivutio vingi vya utalii, huwezi kutegemea majirani wakuletee watalii wakati na wao wana vivutio kama vyako..TRC inafanya kazi kubwa ya kusafirisha mizigo mikubwa ambayo inasababisha uwepo wa nafuu ya bei mfano mafuta tofauti kama ingesafirishwa kwa barabara..hivi inahitaji maarifa ya pekee kwa CAG kujua mtazamo huu???
Pili, kwa hali ya sasa sidhani kuna uhitaji wa kuwa na CAG wakati hao anaopita kuwakagua wanaweza kabisa kupitia teknolojia kujua hiyo faida au hasara kwa wiki, mwezi, robo mwaka au hata kila siku...inasaidia nini kupoteza fedha nyingi kukagua taarifa za miaka miwili au mmoja nyuma? Hii si ni sawa na kufanya postmortem...mtu alishakufa, ukijua sababu za kifo atarudi???
Kuna wakati mmoja Profesa wa uchumi akiwa waziri wa fedha awamu ya tatu alipendekeza kuundwe MAMLAKA YA MATUMIZI itakayofanya kazi sawa na inavyofanya TRA..km wakati huo Bunge halikuona maana ya kuwa na mamlaka hii ya matumizi, pengine kwa sasa ni muhimu zaidi kuliko kuendelea na postmortem za CAG hakuna faida yotote ya uwepo wake ni kubebesha mzigo walipa kodi!
 
Mkuu hilo wale MISUKULE ya Mwendazake hawayaoni. Serikali ya Samia inafuata utawala wa sheria na iko transparent sana. Alone denoo JG na Etwege
Na wewe ni MSUKULE wa huyo mama. Upo always biased and negative na Magufuli na utamtetea huyo mama hata kwa uwongo na fiksi, sema huoni kundu lako. Haupo balanced kwenye hoja zako. You're too involved in your extreme sense of antipathy against Magufuli na ndiyo maana huoni lolote jema na Magufuli. Hii mada haihusu comparison ya huyo mama ako na Magufuli, lkn wewe tayari you've picked on comments zinazomuhusu Magufuli
 
Kumbe watu wako serious! Wanaitendea haki kauri ya Mama,"Kila mtu ale kwa urefu wa kamba"!
Hapo hakuna atakayechukuliwa hatua!
 
Bora huyu anapokea ripoti na tunajuwa ubovu na ufisadi wote. Kuliko DIKTETA Magufuli yeye aliposomewa ripoti ya upotevu wa Tsh 1.5 Trillion akamfukuza kazi CAG Prof Assad.

Bahati mbaya Bunge ndilo lenye kuchukua hatua. Ila Bunge lenye UTAAHIRA aliloliacha Magufuli unategemea lifanye nini? Bunge lina wabunge 99.999% wa CCM.

Simtetei Samia kwa kutochukua hatua kwenye ropoti ya mwaka 2021/22 kama tulivyotarajia. Nchi hii inaendeshwa kwa Katiba na utawala wa Sheria. Rais hawezi kusomewa ripoti leo halafu kesho aseme kamata fulani na fulani peleka Mahakamani. Tutakuwa tuarudia UHAYAWANI uleule wa Magufuli aliyejaza watuhumiwa magereza lakini hakuna hata kesi moja aliweza kuimaliza hadi anakufa.

Upo utaratibu nankuna vyombo vya kufanya hayo mambo. Na mwenye majukumu makubwa ni Bunge.

Katiba inaruhusu Wabunge kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kama maagizo ya CAG hayatekelezwi. Kura zikipigwa na wakashinda wanaosema hawana imani basi Rais anavunja cabinet.
Ila wewe Taila una laana
Hiii nchi imejaa mataila wengi sana
 
Hayo Mapungufu ndiyo udhaifu wake!!, anaanzaje kuwa bora tena??
Huyu Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zenu. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
Kwa hiyo wewe ndio unaakili??
 
Hayo Maungufu ndiyo udhaifu wake!!, anaanzaje kuwa bora tena??
Huyu Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zenu. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
Ongezeko la asilimia 61
 
Na bado ndege zinanunuliwa 😂 next time bado watasema zinaingiza hasara.
Na bado atalaumiwa JPM 😂
Na bado tutaambiwa mama samia anaupiga mwingi

Tz kiboko 🙌
Hadi hii lipoti watasema sababu ni Magufuli
 
Na wewe ni MSUKULE wa huyo mama. Upo always biased and negative na Magufuli na utamtetea huyo mama hata kwa uwongo na fiksi, sema huoni kundu lako. Haupo balanced kwenye hoja zako. You're too involved in your extreme sense of antipathy against Magufuli na ndiyo maana huoni lolote jema na Magufuli. Hii mada haihusu comparison ya huyo mama ako na Magufuli, lkn wewe tayari you've picked on comments zinazomuhusu Magufuli
I don't give a damn on a bustard comment. You idiot you are victim of false propaganda by Magufuli who was an autocratic despot who suppressed freedom of expression. You also want to me to opine on your way of thinking. Of you think the god you worship (Magufuli) was a "patriotic" president fine, but NEVER silence me from unveiling his atrocities, lies and evil doings.

Kila mmoja ashinde mechi zake, wache wasomaji watu judge.
 
Ila wewe Taila una laana
Hiii nchi imejaa mataila wengi sana
Wewe mbumbumbu hata shule hujasoma kaa kimya. Kuandika neno taahira kunakushinda, je utaweza kuelewa hoja za wenye akili?

Eti "Ila wewe Taila", pumbavu
 
Wewe mbumbumbu hata shule hujasoma kaa kimya. Kuandika neno taahira kunakushinda, je utaweza kuelewa hoja za wenye akili?

Eti "Ila wewe Taila", pumbavu
Nenda kafrane na baba yako madam ujumbe unaupata taila wewe
Haya rekebisha tena muandiko wa mumeo
 
I don't give a damn on a bustard comment. You idiot you are victim of false propaganda by Magufuli who was an autocratic despot who suppressed freedom of expression. You also want to me to opine on your way of thinking. Of you think the god you worship (Magufuli) was a "patriotic" president fine, but NEVER silence me from unveiling his atrocities, lies and evil doings.

Kila mmoja ashinde mechi zake, wache wasomaji watu judge.
Anzisha uzi maalum uweke wazi hizo "atrocities, lies and evil doings" za Magufuli. Huu uzi unahusu Ripoti y CAG ya 2022/2023. Magufuli anahusika vipi mkuu?
 
Back
Top Bottom