Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,658
- 20,991
Wakati wa #kiza cheusi ukisema hayo aliyoyasema kicheere, ambao ndio ukweli wenyewe, huyo #kicheere Angelikuwa ameshaondolewa kitambo sana na pengine angepotezwa kabisa, ilikuwa serekali ya hovyo inayopenda sifa zisizokuwepo, eti "Tunajenga kwa nguvu zetu wenyewe Ny.....k."