Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,200
Alikua na anatumika na mabeberuNdo maaana alitolewa ile nafasi mkuu, hakustahili kabisa!
Alikua na anatumika na mabeberuNdo maaana alitolewa ile nafasi mkuu, hakustahili kabisa!
Jiwe akili kubwa!
Lakini unadhani anaenunua kwa mkopo anapenda au ni shida zake ndo zinamuhangaisha? kama hauna Cash lazima utakopa tu.Kwa akili yako unavyoona matajiri wa bongo wa ma Bus ukiona kamwaga Yotong brand new 20 au 30 unadhani kazinunua cash zote siyo?
kushinda yule gaidi wa lowasa?
Jiwe akili kubwa!
Alikua na anatumika na mabeberu
umeshachangia ujenzi wa ofisi ya chama ama mradi umesmama?
Kumuelewa nini, ukikopa unakutana na riba, ukinunua cash, you just pay cash then off you go.Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Achana na hao watu mkuu, hawa ndio wanapenda kuitwa maskini alafu wanapiga makofi.Lakini unadhani anaenunua kwa mkopo anapenda au ni shida zake ndo zinamuhangaisha? kama hauna Cash lazima utakopa tu.
Yani kama unaenda dukani unataka shati alafu unaambiwa kwa Cash ni 50,000 lakini kwa mkopo ni 120,000. sasa wewe mwenye akili utachagua mkopo au cash?
kumbuka kwenye mauzo ya mkopo umeongezewa cha juu 70,000 kucover risks maana kuna uwezekano ukashindwa kulipa au serikali ikabadirika mukaanza mabishano n.k.
Nachosema, kama umetajiwa bei ya kitu na ukawa kwa bahati nzuri cash unayo, lipa kwa Cash u save hiyo nyongeza ya 70,000.
sawa. Ila uwe kukopeshwa kama huna collateral sawa na mkopo wako.naomba kujua fani yako maaana ni kama likichwa lako halielewi, Ukikopa nje ya bongo maaana yake unakopa kwa kufidia inflation rates maaana yake ukija kulipa unamfidia mzungu factors za inflation then jumlisha na faida yake!
2) Mpaka umefika kipimo cha kukopa maaana yake umekosa fedha kutoka kwenye biashara yako, kwahio unatia mzigo wa lawama mwingine kwenye biashara ambayo mapato ya biashara yako yameshindwa kukusogeza! ukiwa na imani kimiujiza yatajilipa nadhan utakua uchawi na matajiri wangekua washalipa madeni yao yote
3) unapokopa nje unarudisha $$ sio Tsh, mfano wakati nyerere anakopa unaweza kuta dola moja ilikua sawa na 500, leo hii tupo 2400, sasa jumlisha inflation cost + faida yake + tsh kuporomoka! unapata nn? Mlundiko wa madeni ya toka miaka ya 70 ambayo hayawezi kulipika kutokana na ahadi
4) Mpaka saaahv bado tuna madeni + jumlisha mapya tunaochukua kwa masharti yale yale lazima kila mwaka wa fedha BOT ipitie EX-CHECKERS, IOU zote kujua deni la taifa limefikia wap, hata kama hamkukopa mwaka huo kuna cost za kufidia + dola imepanda thamani kiasi gan mpaka mmefikia,
5) Serikali ikikopa ndan ni kwa ajili ya matumizi ya ndan huezi kopa CRDB ukaenda kununua ndege hamna mtu ana imani na ela yako, Deni la ndan serikali inaweza kulilipa lote ndan ya sekunde kadhaa lakini kuepuka kufa kwa Tsh inabidi ilipe kidogo kidogo kuepuka kujaza pesa nyingi kwenye mzunguko! mfanyabiashara yoyote wa tanzania akikopa hakuna effect yoyote kwenye uchumi kwa sababu amesaidia tu kusambaza ela , akishindwa kulipa maaana yake asset zake znatumika ila kunakua na fresh supply mpya ya pesa!
5) Unapokopa kimataifa maaana yake unatia umaskini nchini kwako, tuseme leo serikali ikaaamua kulipa $bil 60 inazodaiwa maaana yake pesa zote kwenye mzunguko ztaisha na bado utakua unadaiwa zingine kwa sababu ya zile additional cost! wakati nyerere anakopa dola moja ilikua noti ya 500 tu, leo inakubidi mwananchi atoe noti za 500 zikiwa nne kulipa deni hilo? umetoka kwenye noti moja sasa unalipa noti 4 deni ilo ilo moja apo bado hujajumlisha faida yao, kila mwaka kuliongezeka kiasi gan
kama hujaelewa mpaka apo imekula kwako
Mimi sio mchumi ila mkopo una muda wa kulipa wala hauangali hizo fluctuation na hiccups, labda kama kuna retention fee. Tatizo hata sio ilo mi nakuambia kopa kulingana masharti fanya kitu kitakacho kuingizia pesa then rudisha hela ya watu alafu sepa.naomba kujua fani yako maaana ni kama likichwa lako halielewi, Ukikopa nje ya bongo maaana yake unakopa kwa kufidia inflation rates maaana yake ukija kulipa unamfidia mzungu factors za inflation then jumlisha na faida yake!
2) Mpaka umefika kipimo cha kukopa maaana yake umekosa fedha kutoka kwenye biashara yako, kwahio unatia mzigo wa lawama mwingine kwenye biashara ambayo mapato ya biashara yako yameshindwa kukusogeza! ukiwa na imani kimiujiza yatajilipa nadhan utakua uchawi na matajiri wangekua washalipa madeni yao yote
3) unapokopa nje unarudisha $$ sio Tsh, mfano wakati nyerere anakopa unaweza kuta dola moja ilikua sawa na 500, leo hii tupo 2400, sasa jumlisha inflation cost + faida yake + tsh kuporomoka! unapata nn? Mlundiko wa madeni ya toka miaka ya 70 ambayo hayawezi kulipika kutokana na ahadi
4) Mpaka saaahv bado tuna madeni + jumlisha mapya tunaochukua kwa masharti yale yale lazima kila mwaka wa fedha BOT ipitie EX-CHECKERS, IOU zote kujua deni la taifa limefikia wap, hata kama hamkukopa mwaka huo kuna cost za kufidia + dola imepanda thamani kiasi gan mpaka mmefikia,
5) Serikali ikikopa ndan ni kwa ajili ya matumizi ya ndan huezi kopa CRDB ukaenda kununua ndege hamna mtu ana imani na ela yako, Deni la ndan serikali inaweza kulilipa lote ndan ya sekunde kadhaa lakini kuepuka kufa kwa Tsh inabidi ilipe kidogo kidogo kuepuka kujaza pesa nyingi kwenye mzunguko! mfanyabiashara yoyote wa tanzania akikopa hakuna effect yoyote kwenye uchumi kwa sababu amesaidia tu kusambaza ela , akishindwa kulipa maaana yake asset zake znatumika ila kunakua na fresh supply mpya ya pesa!
5) Unapokopa kimataifa maaana yake unatia umaskini nchini kwako, tuseme leo serikali ikaaamua kulipa $bil 60 inazodaiwa maaana yake pesa zote kwenye mzunguko ztaisha na bado utakua unadaiwa zingine kwa sababu ya zile additional cost! wakati nyerere anakopa dola moja ilikua noti ya 500 tu, leo inakubidi mwananchi atoe noti za 500 zikiwa nne kulipa deni hilo? umetoka kwenye noti moja sasa unalipa noti 4 deni ilo ilo moja apo bado hujajumlisha faida yao, kila mwaka kuliongezeka kiasi gan
kama hujaelewa mpaka apo imekula kwako
Sawa ni msomi mwenye vyeti lakini hana maarifa kabisa.Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Assad hamna kitu. Alikuwa anaendeshwa na mihemko. Nmegundua tatizo lilikuwa ni nini. Hakuwa smart kama nlivyodhani.Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Nakuelewa sana, tatizo wanaokubishia hawana maarifa ila wana elimu za makaratasi.ukikopa world bank kiuhalisia unakopa katika mataifa ya G7, unakopa USD , but mfanyabiashara anakopa Tsh, whether ataweza kulipa ama atashindwa kukopa no effects will happen katika mzunguko halisi wa Tsh, sasa ushindwe kulipa china ela yao