Timu zilizofuzu nusu fainali ya caf champions league 2023 ndio hizo hizo zimefuzu Caf AFL 2023. Hakuna timu mpya

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,527
Mchele na chuya unajichuja.. nimeamini mashindano ya caf ya timu zake zile zile miaka yote.. timu zilizofika nusu fainali ya AFL 2023 ni zile zile zilizofika nusu fainali ya caf champions league mwaka 2023

Nusu fainali ya Caf champions league mwaka 2023 ilikuwa na timu 4 ambazo ni

1. AL AHLY
2. WYDAD
3. ESPERENCE
4. MAMELODI

nusu fainali ya super league AFL mwaka 2023 timu zilizofuzu ni

1. AL AHLY
2. WYDAD
3. ESPERENCE
4. MAMELODI

hakuna timu mpya
 
Mchele na chuya unajichuja.. nimeamini mashindano ya caf ya timu zake zile zile miaka yote.. timu zilizofika nusu fainali ya AFL 2023 ni zile zile zilizofika nusu fainali ya caf champions league mwaka 2023

Caf champions league mwaka 2023 ilikuwa na timu 4 ambazo ni

1. AL AHLY
2. WYDAD
3. ESPERENCE
4. MAMELODI

nusu fainali ya AFL mwaka 2023 timu zilizofuzu ni

1. AL AHLY
2.ESPERENCE
3.MAMELODI
4. MECHI BADO HAIJACHEZWA YA PILI ILA AGGREGATE WAYDAD ANAONGOZA 1 -0 MBELE YA ENYIMBA

hakuna timu mpya
Na hao ndo wenye mpira wao hapa Afrika
 
Mchele na chuya unajichuja.. nimeamini mashindano ya caf ya timu zake zile zile miaka yote.. timu zilizofika nusu fainali ya AFL 2023 ni zile zile zilizofika nusu fainali ya caf champions league mwaka 2023

Nusu fainali ya Caf champions league mwaka 2023 ilikuwa na timu 4 ambazo ni

1. AL AHLY
2. WYDAD
3. ESPERENCE
4. MAMELODI

nusu fainali ya super league AFL mwaka 2023 timu zilizofuzu ni

1. AL AHLY
2. WYDAD
3. ESPERENCE
4. MAMELODI

hakuna timu mpya
Injinia tuletee kinzumbi
 
Back
Top Bottom