CAF Champions League

CAF Champions League

Yanga wafungeni hao ili mashabiki wa simba wakalale mapema.
 
Kipindi hiki cha pili naona wachezaji wa Yanga wanacheza sana madhambi karibu na lango lao
 
Kuna mchezaji wa Ahly yupo chini...sijui alipigwa nyundo na nani huyu?
 
Wanasema radi haipigi sehemu mara mbili... tumejifunza kutokana na makosa... Naanza kuona the beginning of the End of trophyless season sasa... LOL

Wigan ni giant killer,na wana historia nzuri sana na Wembley hivi karibuni
 
Back
Top Bottom