Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Wigan vs Arsenallllllll kama nilivyopenda Semi final... Come on Arsenal.......
CC Arsenal haters
Ulifungwa fainali na vibonde Birmingham so usishangae yakajirudia yaleyale
Wigan vs Arsenallllllll kama nilivyopenda Semi final... Come on Arsenal.......
CC Arsenal haters
Nakushauri lala tu, kesho tutakwambia Yanga kafungwa ngapiMi mwenzenu nasali tu hapa, roho yangu itaniuma kama hatutashinda.
Ila mpaka sasa tutaenda vizuri tu.
Matokeo yakoje? Uzalendo kidogo jaman,
Ngoja mpigwe misumari 4-0 ndio mtamsahau huyo kiiza wenu.Hamis Kiiza analeta kizaa zaa hapa katika lango la hawa wamisri.
mi mwenzenu nasali tu hapa, roho yangu itaniuma kama hatutashinda.
Ila mpaka sasa tutaenda vizuri tu.
yanga kashapigwa ama kweli yanga mdebwedo...
للرياضة البدنية‎
0-0
Kijana upo huku? Kila la heri...kwa mungu kila jambo linawezekana, ft:waarabu 0, yanga 2
Mkuu kipindi cha pili Yanga wamekwishaa!!!
Wanasema radi haipigi sehemu mara mbili... tumejifunza kutokana na makosa... Naanza kuona the beginning of the End of trophyless season sasa... LOLUlifungwa fainali na vibonde Birmingham so usishangae yakajirudia yaleyale