rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Wigan ni giant killer,na wana historia nzuri sana na Wembley hivi karibuni
Wataandika historia nyingine ya kufungwa Wembley....
Wigan ni giant killer,na wana historia nzuri sana na Wembley hivi karibuni
Aibuuuu tena aibu kubwa jamani....dida anaweka "vitu" kwenye lango la goli....uchawi live
yani nimejilipua nilimpa wigan,hull ct na juve mkeka wa kwanza,wa pili nikampa man ct,lille,madrd,dortmund,espanyol
yan nabana mbup mpk znauma
Abood Tv kwa Moro, na nasikia Azam 2 nao wanaonesha....
Mkuu humo hauruhusiwi kuingi na nyundo bhana.Kuna mchezaji wa Ahly yupo chini...sijui alipigwa nyundo na nani huyu?
kipa wa yanga kapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha mpira
Wapigwe tu,,,,,,,,nasema wapigwe tumechoka.Waarabu mnazinguaaaaaaaaa!
kipa kadi ya njano ni nini tena hiyo
Al-Ahaly tupeni raha.....Piga hao Yanga..
kaka hizo mila....