ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
hata sisi tulitaka kuwaona wakiwa kwao wapo vp, half ya pili watatukoma!Al-Ahaly wapo smart sana....Wamewasoma kipindi cha kwanza.....Kipindi cha pili mmekwisha...
hata sisi tulitaka kuwaona wakiwa kwao wapo vp, half ya pili watatukoma!Al-Ahaly wapo smart sana....Wamewasoma kipindi cha kwanza.....Kipindi cha pili mmekwisha...
yani leo nmebadilisha modem ad nmechoka nahis zote ziko slow. Hapa nimeweka ya CDMA kidogo naona iko stable.
Al-Ahaly wapo smart sana....Wamewasoma kipindi cha kwanza.....Kipindi cha pili mmekwisha...
Al-Ahaly wapo smart sana....Wamewasoma kipindi cha kwanza.....Kipindi cha pili mmekwisha...
yani leo nmebadilisha modem ad nmechoka nahis zote ziko slow. Hapa nimeweka ya CDMA kidogo naona iko stable.
dogo unatafuta laana wewe!!!!!!!!
taratibu kaka uzazi wenyewe ndo upo huko
mikia huwa hamkosi la kusema, najua bado mnashangilia droo mliyoipata leo
hatatimiza ahadi huyo hata kama yanga wakishinda
mtangazaji anasema watz tuiombee Yanga,huyu vipi,uzalendo ni kwa stars tu!Al ahly piga mimba 7 hao yebo
hata sisi tulitaka kuwaona wakiwa kwao wapo vp, half ya pili watatukoma!
Tatizo nyie mlioshangilia uwanjani mechi iliyopita leo hampo uwanjani kuwashangilia
Kazi ya kocha sio kukaa kwenye benchi