kushinda kwa yanga ni sifa ya taifa..Wewe sio mzalendo...isipokuwa wewe hujielewi....Mzalendo wa timu ya taifa sio yanga...Naombea yanga wapigwe kama nne hivi
kushinda kwa yanga ni sifa ya taifa..Wewe sio mzalendo...isipokuwa wewe hujielewi....Mzalendo wa timu ya taifa sio yanga...Naombea yanga wapigwe kama nne hivi
Weka picha ya mkeo kwanza!!Nitakuwepo mkuu hadi saa sita kabisa...ila mkuu,,,,endapo mtashinda...natangaza rasmi mimi na mke wangu tutatembea uchi wa mnyama kutoka posta hadi kimara kesho kuanzia saa tatu asubuhi
Kushinda kwa yanga ni sifa kwa taifa pia...hata ulaya pia wanakuwa na uzalendo...Uzalendo ni kwenye timu ya taifa tu.
Sasa na wewe badala ya kuongea mpira unaongea historia...toa usimba wako hapa..tuache na yanga yetu na ndoto zetu..ebu na wewe kaote jinsi ya kumfunga prison na kuchukua VPL
sema haki ya Mungu
Gem inaanza saangapi?
sema haki ya Mungu
Kushinda kwa yanga ni sifa kwa taifa pia...hata ulaya pia wanakuwa na uzalendo...
Hii mechi ya leo, kituo gani cha television kitaonyesha hii mechi
Kila la kheri yanga
Ya ulaya yaache ulaya bana...kwa tanzania kushangilia yanga sio uzalendo kamwe.......ni kutojitambua
ivi Kaseja mlimchukua ''wa kupigia picha''?acheni kuua vipaji vya watu
haki ya muungu tena....kesho Yanga wakishinda we njoo jionee shoo tu...ntakua na mai waifu wangu
asante mdau.............
Naomba nikuulize swali. Tanzania inawakilisshwa na nani katika mashindano ya klabu bingwa 2014 barani Afrika?Ya ulaya yaache ulaya bana...kwa tanzania kushangilia yanga sio uzalendo kamwe.......ni kutojitambua