CAF Champions League

CAF Champions League

Naona msafara wa Yanga ndio unaanza safari kuelekea uwanjani sasa!
 
Mkuu hilo litakuwa ni taifa lako peke yako..Yanga haijakabidhiwa bendera ya taifa na waziri wa michezo wala rais..Yanga haiiwakilishi nchi...inamwakilisha Manji na Bin Kleb
Kwani kwenye taarifa za kimataifa watasema yanga of manji au yanga from Tanzania?? Yanga ndio iliojitahidi kwa kuywa bingwa na wana stahili kuiwakilisha taifa..kama wamepewa nafasi hyo kwanini tusiungane kuiombea mema..
 
Naomba nikuulize swali. Tanzania inawakilisshwa na nani katika mashindano ya klabu bingwa 2014 barani Afrika?

Anko mambo yanakwendaje? Sijakusikia muda mrefu. DonDonald anakutafuta sana.
 
Ha ha ha ha ha...Mashabiki wa Yanga mnachekesha kweli...eti mpewe Raha na Yanga...msubiri stress tu......Na kama mkishinda uje mkuu...hakutakuwa na chenga

Wenzio wanatoa ahadi za wake zao mpka sasa Yanga ikishinda nina wake wapya 6. Sasa mkuu toa na wa kwako nipate angalau wake 7.
 
Wenzio wanatoa ahadi za wake zao mpka sasa Yanga ikishinda nina wake wapya 6. Sasa mkuu toa na wa kwako nipate angalau wake 7.

Wa kwangu sikupi ng'oooooo mkuu...endapo mtashinda kitu ambacho najua hamuwezi...utaishia kumuona akiwa naked katika safari yetu ya kutoka posta hadi kimara
 
Wa kwangu sikupi ng'oooooo mkuu...endapo mtashinda kitu ambacho najua hamuwezi...utaishia kumuona akiwa naked katika safari yetu ya kutoka posta hadi kimara

Mkuu utakufa kwa kihoro leo. Matokeo ni 2-1.. We unajua haya matokeo yana -ve effect upande gani.
 
Uyu kocha wa YANGA kachambia tindikali yaani unacheza na Bingwa mtetezi tena kwao alafu unachezesha kiungo mkabaji 1 pekee Domayo? Matatizo mengine ya kujitakia
 
Back
Top Bottom