CAF Champions League

CAF Champions League

kila mtu Ana mtazamo wake..kwangu mm naweka utaifa kwanza hata kama ni mpenzi wa simba..yanga naitakia kila la kheri ipeperushe bendera ya taifa vema..

Mkuu hilo litakuwa ni taifa lako peke yako..Yanga haijakabidhiwa bendera ya taifa na waziri wa michezo wala rais..Yanga haiiwakilishi nchi...inamwakilisha Manji na Bin Kleb
 
Tutaanzia Posta pale Holiday in..Tutapitia maktaba Square.......then Mnazi mmoja...then Fire...then Magomeni...then Ubungo...alafu kimara...endapo tu Yanga itashinda

Mkuu nitakuwepo isiwe chenga tuuuu. Tupe raha Yanga
 
Naomba nikuulize swali. Tanzania inawakilisshwa na nani katika mashindano ya klabu bingwa 2014 barani Afrika?

Tanzania haina Mwakilishi....Kwa sababu nchi kamanchi haishiriki mashindano hayo....Yanga inamwakilisha Manji na Bin Kleb...si unajua wao ndio wanaitumia Yanga kama Punda wa mizigo yetu ileeee......Ya Unga wa Ngano
 
Tutaanzia Posta pale Holiday in..Tutapitia maktaba Square.......then Mnazi mmoja...then Fire...then Magomeni...then Ubungo...alafu kimara...endapo tu Yanga itashinda

ahadi za hivi huwa zisiamini kabisaaaaa.bora useme hata utajiunga na JF gold member
 
kuna watu ndani hadi ban waliomba mkuu..

Mkuu...naelewa ninachokiahidi...Naahidi ntakitimiza ninachokiahidi.....Endapo Yanga itashinda kitu ambacho najua ni ndoto ya mchana saa sita
 
Mkuu nitakuwepo isiwe chenga tuuuu. Tupe raha Yanga

Ha ha ha ha ha...Mashabiki wa Yanga mnachekesha kweli...eti mpewe Raha na Yanga...msubiri stress tu......Na kama mkishinda uje mkuu...hakutakuwa na chenga
 
haki ya muungu tena....kesho Yanga wakishinda we njoo jionee shoo tu...ntakua na mai waifu wangu

Game ni leo mkuu saa mbili usiku kwa saa za East afrika na saa 11jioni kwa saa za Misri.
 
Ahsante....Sema huyu mbunge ni mkia damu....sasa tunahofu anaeza ghairi. . ..akirusha live....basi JF itakuwa live pia kutokea kasoro bahari

mie nitakuwa nafatilia tu hapa JF muwe mnatupa updates tu
 
Back
Top Bottom