Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
na hapo atakuwa ameshabadili na jina sijui atakuwa anaitwa nini united!!Myama kuonekana kwenyemashindano hayo ni 2030.
na hapo atakuwa ameshabadili na jina sijui atakuwa anaitwa nini united!!Myama kuonekana kwenyemashindano hayo ni 2030.
umeahidi kitu ambacho hutaweza tekeleza,hebu sema utakojoa sokoni kariakoo labda itakuwa na unafuu kwako!Mshindwe kupata ushindi mnono hapa nyumbani eti mkashinde Misri...Wallah...ntatembea uchi kutoka posta hadi kimara
Mkuu Masuke hapo Kavumbagu ndiye mshambuliaji wa mwisho,Kiiza,Okwi na Msuva ni wapishi watakoukua wanampikia kavumbagu huku nao wakijaribu kufunga na kupiga mashuti,Ila kwa maoni yangu kama kipindi cha kwanza Yanga itaenda sare basi kipindi cha pili kutakua na aja ya kumpumzisha kiiza na kumuingiza Luhende ili kuendelea kuwapa wakati mgumu waarabu.Na hapo kwenye na8 Ngasa atafiti vema maana ni mwepesi wa kuponyoka na kupiga pasi "sumu"Kiukweli leo tukiwatoa waarabu nina uhakika tu
Kati pako shake sana!hii Chuji anastahili kuanza na Msuva angesubiri.Waarabu si wakushambulia kama unacheza na Manyema
Duh!yani umetoka kwenye fuko la uzazi leo hihi,na leo hihi umeota meno,umetambaa,na sasa umepata na ujanja wa kuingia JF lol?anyway,mechi ya awali wakati ukiwa kwenye fuko la uzazi Yanga alishinda nyumbani 1-0.Kwahiyo leo tunatafuta sare.Mkuu mi nawaonea huruma sana kwa sababu mnaota...tena ndoto za mchana saa sita......kama mngekua na nia ya kuwashinda Ahly mngetakiwa kushinda mech ya nyumbani ila kule sahauni tu....Ni Simba tu wenye jeuri hiyo...Yanga ni wa hapa hapa
Myama kuonekana kwenyemashindano hayo ni 2030.
Duh!yani umetoka kwenye fuko la uzazi leo hihi,na leo hihi umeota meno,umetambaa,na sasa umepata na ujanja wa kuingia JF lol?anyway,mechi ya awali wakati ukiwa kwenye fuko la uzazi Yanga alishinda nyumbani 1-0.Kwahiyo leo tunatafuta sare.
Mkifungwa goli tano itaninogea kweli!!!!
umeahidi kitu ambacho hutaweza tekeleza,hebu sema utakojoa sokoni kariakoo labda itakuwa na unafuu kwako!
Mkuu mi nawaonea huruma sana kwa sababu mnaota...tena ndoto za mchana saa sita......kama mngekua na nia ya kuwashinda Ahly mngetakiwa kushinda mech ya nyumbani ila kule sahauni tu....Ni Simba tu wenye jeuri hiyo...Yanga ni wa hapa hapa
Usitoke hapa JF mpaka saa 4 usiku!Mkuu....hayo maneno yoooteee mengi hayana mantiki yoyote,....ni mipasho tu...mlikua na nafasi ya kupata ushindi mnono hapa nyumbani...mlikosa nafasi nyingi za wazi msivyo makini......sasa leo ndo mtawatambua waarabu......msije na visingizio tu...ila mimba ya bao tano lazima mpigweeeeee
Sasa na wewe badala ya kuongea mpira unaongea historia...toa usimba wako hapa..tuache na yanga yetu na ndoto zetu..ebu na wewe kaote jinsi ya kumfunga prison na kuchukua VPL
Usitoke hapa JF mpaka saa 4 usiku!
Hii mechi ya leo, kituo gani cha television kitaonyesha hii mechi
Kila la kheri yanga
hizi 400 ndio chanzo cha kuuza mechi ref. Simba na zamalek na kia za wachezajiððKama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo.
Line up:Yanga.
1.Deo Munishi
2.Twite Mbuyu
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Frank Domayo
7.Saimon Msuva
8.Mrisho Ngasa
9.Didier Kavumbagu
10.Emmanuel Okwi
11.Hamisi Kiiza
Tetesi:Yanga wakiitoa Ahly watapewa 400m kama zawadi.
Leo wang'oa Viti taifa watabaki kung'oa keyboards zao ..LOL:A S-key:
Nitakuwepo mkuu hadi saa sita kabisa...ila mkuu,,,,endapo mtashinda...natangaza rasmi mimi na mke wangu tutatembea uchi wa mnyama kutoka posta hadi kimara kesho kuanzia saa tatu asubuhi