khe makubwa sikuyajua haya
inaonekana we unajua mengi hebu bhaeleza bhananchi nini chanzo au ni wewe ndo source ya matatizo baada ya kukutolea nje ukamchomea utambi
tumuombee huko aliko
pole yakee
kuna watu nahisi wanasugu za ban
kweli unanifuatilia!Amesharudi mkuu,though mods wamefuta uzi wake wa kurudi.
ndiyo ya kwanza hii, acha kuwa mpana ka jua\?tumuombee huko aliko
pole yakee
kuna watu nahisi wanasugu za ban
kweli unanifuatilia!
kweli unanifuatilia!
we ndio uliyempiga ban?Miss you sana cacico najua wiki ijayo atakuwa ndani ya nyumba!
usiniambukize virusi vya uchochezi, haihuuuuuu babu we!Si nimekwambia nikiona jina lako moyo wangu unaserebuka?
sina mwenzangu, mwenzangu ni wewe na chit chatters woteeeeee! mzima ww?Msikilize mwenzako