Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Naomba NEMC aisee muingilie kati. Hawa jamaa wa The Place bar Moshono Arusha wanapiga muziki kwa sauti ya juu sana usiku kucha. Majirani hapa hakuna kulala. Watoto usiku kucha ni kuhangaika nao tu. Naomba mamlaka husika zichukue hatua watoto wetu na hata sisi watu wazima tunashindwa kulala vizuri.
Pangu Pakavu
Pangu Pakavu