Bye Bye Wigi................

tujadili mambo yenye tija na nchi hii sio private issues za mtu kama hivi.hata akinyoa kipara ni yeye,sisi tujadili utendaji kazi wake na sio amesuka au mamevaa wigi,mkitaka kujadili hayo nendeni kuleeeeeeeeeeee facebook
 
Cjawahi cheka kama leo, kwanya 2 ulivoanza na nlichokikuta nimecheka sana.Thnx mkuu ni kweli 1/3 kapendeza.
 
Uongozi ni kazi ngumu, nashangaa watu wanapenda kugombea madaraka. Huyu Ms. Mjengo haya madongo ni mazito mno, kuanzia kichwa cha kuonekana (wigi) mpaka kichwa cha maamuzi (ubongo)!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom