Bye Bye Wigi................

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,146
13,216
spika1.jpg
Hatimaye supika ameamua kuachana na wigi
 
Mama mzuri ila wigi lilikuwa linampa u-ugly. Akilirudia nitamtumia sms avue
 
hiyo ni kuonyesha kuwa aliyokuwa akisema ni ukweli na ameamua kubadilika hata muonekano!
Hongera mama, tunaomba ubadilishe pia utaratibu wa kazi kwa kuuona ukweli wa hoja na kuukubali badala ya kuukataa kama ulivyokuwa ukifanya kabla
 
Nilimuona wakati ana bwata kuhusu posho..jamani..mawigi yana siri..sikuwahi jua kama huyu shosti ana komwe na kichwa kibaya kama mtungi wa gesi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom