King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,731
- 68,749
Mashine zishazimwa kutokana na maji kujaaa popomi mpaka bujeeeee.
Umesahau kuongeza na rufiji imezama.Hakuna tatizo, maji yamefunguliwa na kina kitashuka.
Matumizi ya ziada kwa hayo maji huku Rufiji yanaweza kuwa nini?....kama ni kumwagilia haiwezekani maana hata mashamba yamefunikwa na Maji.
Mama mita 1 kwenye mvua nyingi ni ndogo Sana.Kama ukomo ni 186 basi bado halijafikia ukomo.
Mita moja hapo ni maji mengi sana kuliko unavyofikiria.
Mama mita 1 kwenye mvua nyingi ni ndogo Sana.
Ogopa mafuriko.
Nasisitiza "ndogo kwenye mvua nyingi"Fikiri lisingekuwepo hilo bwawa mita 186 zote zingekuwa wapi saa hizi?
Nchi hii ngumu sana. Maji yasipokuwepo tatizo, yakijaa tatizo. Tupewe nini sisi?Hiyo kazi ya kujaza maji si ndo ilichukuwa muda mrefu na mradi kuchelewa? Sasa yanamwagwa tena?
Au kuna kitu sijaelewa hapa?
Tumwagilie tu, tuna akili ya kenge mvua ikinyesha anakimbilia kwenye maji kujikinga mvuaMatumizi ya ziada kwa hayo maji huku Rufiji yanaweza kuwa nini?....kama ni kumwagilia haiwezekani maana hata mashamba yamefunikwa na Maji.
Kuna bwawa limefunguliwa jana Arusha, kuna mafuriko huko.Hawa watu tunatakiwa kuwawajibisha!! Tuwaunge Chadema mkono tundamane nchi nzima kupinga huu ujinga. Wanatuona watoto sana hawa ccm. Tundamane hadi kieleweke watupatie umeme wa uhakika,gharama za maisha zishuke chini.
Huyo alikuwa siyo mkweli sana vile, yeye mjuaji wa kila kituMagufuli alisema pale chini ya bwawa kutakuwa na kilimo cha umwagiliaji, mpunga utakao limwa pale utaweza lisha dar yote, sasa sijui kama hilo lita fanyika maana mwenye wazo lake hayupo tena.
Hapana makonda huyoLeo kuna mafuriko Kisongo Arusha. Nayo yamesababishwa na Bwawa na Nyerere alilojenga Hayati Rais Magufuli!??
World Wildlife FundBwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.