Bwawa la Mwalimu Nyerere lafikia MITA 185 ujazo, lajaa mpaka kikomo

Matumizi ya ziada kwa hayo maji huku Rufiji yanaweza kuwa nini?....kama ni kumwagilia haiwezekani maana hata mashamba yamefunikwa na Maji.

Kujenga mifereji ya kuchepusha maji ama kutokea kwenye bwawa moja kwa moja au upande wa chini wa mto...

Mathalani, maji yatayochepushwa yanaweza kujengewa resevoir kubwa mbele kwa mbele then yakatumika kuzalisha maji safi kwa matumizi ya binadamu

Hata hivyo nadhani hili halikuwa kwenye maono ya yeyote kwa kuwa wakati bwawa linaanza kujengwa kulikuwa na ukame na maji yalikiwa machache mno...
 
Hiyo kazi ya kujaza maji si ndo ilichukuwa muda mrefu na mradi kuchelewa? Sasa yanamwagwa tena?

Au kuna kitu sijaelewa hapa?
Nchi hii ngumu sana. Maji yasipokuwepo tatizo, yakijaa tatizo. Tupewe nini sisi?
Kuna wakati mvua ziliyesha tukambiwa maji hayajafika kwenye mabwawa, mara leo maji ni mengi itabidi tuzime mitambo. Hakieleweki
 
Matumizi ya ziada kwa hayo maji huku Rufiji yanaweza kuwa nini?....kama ni kumwagilia haiwezekani maana hata mashamba yamefunikwa na Maji.
Tumwagilie tu, tuna akili ya kenge mvua ikinyesha anakimbilia kwenye maji kujikinga mvua
 
Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.

Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.

Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.

World Wildlife Fund
https://files.worldwildlife.org › ...PDF
THE FACTS AND RISKS OF BUILDING STIEGLER'S GORGE HYDROPOWER ...
 
Back
Top Bottom