Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,124
- 93,247
Yaan unajiita Mchumi, mara msomi, alafu kwenye Mkutano Unasema TUKIO la Lissu lilitengenezwa??
Yaan wewe unaona Watanzania ni Mazwazwa ?
Au TU umeamua kuwatia Watanzania Hasira wachukie zaidi?.
Niku challenge? Kwakua Ni TUKIO la kutengenezwa kwa Lengo la kuchafua Serikali, Toka 2017 Hadi Leo, Usalama, Polisi, wameshindwa kuwamkamata Hawa watu Wabaya???
Tuite msaada wa Nje, Vyombo vije vitusaidie ?.
Bwana Madelu,,,, Wewe tunajua umesoma kwa kukalili, Mtu anayekalili Huwa si mwenye akili, ndio sàbabu UMETHIBITISHA KUSHINDWA.
Wewe ni msomi makaratasi, Kua na ELIMU kubwa sio kua na Intelligence!!.
Yaan wewe unaona Watanzania ni Mazwazwa ?
Au TU umeamua kuwatia Watanzania Hasira wachukie zaidi?.
Niku challenge? Kwakua Ni TUKIO la kutengenezwa kwa Lengo la kuchafua Serikali, Toka 2017 Hadi Leo, Usalama, Polisi, wameshindwa kuwamkamata Hawa watu Wabaya???
Tuite msaada wa Nje, Vyombo vije vitusaidie ?.
Bwana Madelu,,,, Wewe tunajua umesoma kwa kukalili, Mtu anayekalili Huwa si mwenye akili, ndio sàbabu UMETHIBITISHA KUSHINDWA.
Wewe ni msomi makaratasi, Kua na ELIMU kubwa sio kua na Intelligence!!.