Mods;
sikuwahi kuiona hii thread na I do believe na nyie hamkuiona .
Mmeona haya maneno ya Bwabwa na still thread iko free!
Swala langu ni kuwa sitambagua, kumchukia wala kumponda huyu mtu anayeitwa Bwabwa. According to my view, sidhani kama anataka msaada hapa wankutatua tatizo lake isipokuwa anatangza uchafu. Pili kwa kumsaidia nadhani angeenda kwa wanasaikolojia, lakini kwa imani yangu mimi I am 100% sure than Jesus can heal him perfectly and permanently.
Nina hakika Bwabwa angetafuta washauri bila hata kujitanga humu.
Hii thread kuachiwa kutaleta double standards na ndio dunia inakoelekea
1. Kuna watu watasema hormone zimewazidi hivyo hormone zao zinawaruhusu kulala na wanyama!
2. wengine watasema hormones zao zinawaruhusu kulala na watoto wadogo
3. Wataamka wengine na kusema hormones zao zinawaruhusu kuchuna ngozi na kunywa damu, wasipofanya hivyo watakufa
4. watatokea wengine na kusema, wanapenda mapenzi ya kubaka, hormones zao zinawaruhusu kubaka mwanamke yeyote yule
This issue is a ticking bomb that has domino effect in destroying moral standards of human. I do know that we have disabled people, some can not see, others can not walk. Lakini sijaona hata sikumoja wakiwalazimisha watu wawe kama wao, au wakijitangaza kuwa wao vilema.
Kama kweli unajiona huko hivyo, na sababu siyo malezi au kutaka mwenyewe, na unafikiri umezaliwa hivyo, jihesabu kuwa kilema. Usimtukane Mungu wala kuwachafua wengine kwa sbabau wewe ni kilema wa hormones!
Please, believe me Jesus can make you free, HE can recreate you, you will enjoy your manhood with muscline behaviour, you will never ever think about this issues. This can happen only if you believe and allow him to work in your life, test him he is free!!!!