Bwabwa naomba jibu

Bwabwa naomba jibu

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,408
Reaction score
166,818
Jina lako linafanana na zile tabia zilizo sababisha sodoma na gomora zichomwe kwa ndimi za moto kutoka mbinguni.
Umekuwa mstari wa mbele kwenye kutete haki za mashoga,
ulipokuwa una laani kitendo cha nchi za weusi kufungwa na waarabu ulisema ndio maaana umeamua ujichubue ili kuikimbia laana ya rangi ya ngozi nyeusi.
Swali langu ni hili: Je wewe ni shoga?
 
huyo ni masalio ya sodoma na gomora no comment
 
Hilo nalo nenooooooooooo
jina lako linafanana na zile tabia zilizo sababisha sodoma na gomora zichomwe kwa ndimi za moto kutoka mbinguni.
Umekuwa mstari wa mbele kwenye kutete haki za mashoga,
ulipokuwa una laani kitendo cha nchi za weusi kufungwa na waarabu ulisema ndio maaana umeamua ujichubue ili kuikimbia laana ya rangi ya ngozi nyeusi.
Swali langu ni hili: Je wewe ni shoga?
 
mmh..makubwa!! uliyajuaje yote hayo, maana umeongelea kiutaalam wa hali ya juu kuliko kinadharia, umewahi kuonja nini ukajuwa ladha yake..

Mmmh dunia imefika kikomo
 
mbona atuambii kama yy ni shoga tumpeleke kwenye chama cha mamemde
 
Jina lako linafanana na zile tabia zilizo sababisha sodoma na gomora zichomwe kwa ndimi za moto kutoka mbinguni.
Umekuwa mstari wa mbele kwenye kutete haki za mashoga,
ulipokuwa una laani kitendo cha nchi za weusi kufungwa na waarabu ulisema ndio maaana umeamua ujichubue ili kuikimbia laana ya rangi ya ngozi nyeusi.
Swali langu ni hili: Je wewe ni shoga?

majibu ni haya...................

Posted By BWABWA
Re: Hodi! Hodi!

preta mpaka sasa hivi hujalala? pole sana, mimi shoga wa kinyume na maumbile, usihofu lakini...hii inatokana na maumbile ya kuzidiwa hormons nyingi za kike mwailini

 
Nafikiri keshajibu na kujifafanua vizuri zaidi kwenye thread yake ya utambulisho. Ila sijui ukiwa shoga basi kujichubua ni sehemu ya dili. Au ndio wale ambao wangetaka wawe jinsia tofauti.
 
Hizi thread za siku hizi hazionyeshi kama JF ni "home of great thinkers." Standard ya hali ya juu iliyokuwepo siku za nyuma inazidi kushuka siku hadi siku.
 
Jina lako linafanana na zile tabia zilizo sababisha sodoma na gomora zichomwe kwa ndimi za moto kutoka mbinguni.
Umekuwa mstari wa mbele kwenye kutete haki za mashoga,
ulipokuwa una laani kitendo cha nchi za weusi kufungwa na waarabu ulisema ndio maaana umeamua ujichubue ili kuikimbia laana ya rangi ya ngozi nyeusi.
Swali langu ni hili: Je wewe ni shoga?


Asante Bujii, ulonena ni ya kweli, wengi humu jamvini wamekua wakinishangaa, sasa kwa nini nifiche hali niliyokuwa nayo? hiyo ndio hali halisi, hayo ni maumbile.Hamjui kama mficha uchi hazai. Haya mambo bado ni mageni kwa nchi zetu, lakini polepole sasa yanaanza kuenea, mwisho mtazoea tu.Kama kuna mtu yuko serious na mimi, niko teyari hata kutoa namba yangu ya simu tuwasiliane. Swali la nyongeza?...
 
Bwabwa , ukweli ni kwamba mambo unayo fanya sio mageni katoka nchi hii na utakuta hawa hawa wanaao kuuliza na kukutukana ndio kisiri wadau wakubwa wa mambo hayo.

Hayo mambo ni yapo sana tuu, siku zote tunasiakia Anti Juma, Anty Musa ,Anti Chiddy , kwani ni nini hao si mshoga, ila katoka utamaduni wetu , Shoga ni yule anaye liwa tuu, ila ukweli ni kwamba wanao kula na wanao liwa wote ni mashoga na utakuta mamende wengi wapo kwnye jamii yetu ila hawajichukulii kuwa nao ni mashoga na ndio wa kwanza kukemea .
 
Asante Bujii, ulonena ni ya kweli, wengi humu jamvini wamekua wakinishangaa, sasa kwa nini nifiche hali niliyokuwa nayo? hiyo ndio hali halisi, hayo ni maumbile.Hamjui kama mficha uchi hazai. Haya mambo bado ni mageni kwa nchi zetu, lakini polepole sasa yanaanza kuenea, mwisho mtazoea tu.Kama kuna mtu yuko serious na mimi, niko teyari hata kutoa namba yangu ya simu tuwasiliane. Swali la nyongeza?...

Kuna jamaa yangu Mombasa anaulizia kama unatoa tiGo! nitumie namba yako kwenye PM nikuunganishe
 
Asante Bujii, ulonena ni ya kweli, wengi humu jamvini wamekua wakinishangaa, sasa kwa nini nifiche hali niliyokuwa nayo? hiyo ndio hali halisi, hayo ni maumbile.Hamjui kama mficha uchi hazai. Haya mambo bado ni mageni kwa nchi zetu, lakini polepole sasa yanaanza kuenea, mwisho mtazoea tu.Kama kuna mtu yuko serious na mimi, niko teyari hata kutoa namba yangu ya simu tuwasiliane. Swali la nyongeza?...


tafuta mume akuoe acha usodoma
 
Jamani kama mmeamua kuua JF.. Mseme.. Sisi wageni tukimbilie wapi?
 
Mods;

sikuwahi kuiona hii thread na I do believe na nyie hamkuiona .

Mmeona haya maneno ya Bwabwa na still thread iko free!

Swala langu ni kuwa sitambagua, kumchukia wala kumponda huyu mtu anayeitwa Bwabwa. According to my view, sidhani kama anataka msaada hapa wankutatua tatizo lake isipokuwa anatangza uchafu. Pili kwa kumsaidia nadhani angeenda kwa wanasaikolojia, lakini kwa imani yangu mimi I am 100% sure than Jesus can heal him perfectly and permanently.

Nina hakika Bwabwa angetafuta washauri bila hata kujitanga humu.

Hii thread kuachiwa kutaleta double standards na ndio dunia inakoelekea

1. Kuna watu watasema hormone zimewazidi hivyo hormone zao zinawaruhusu kulala na wanyama!

2. wengine watasema hormones zao zinawaruhusu kulala na watoto wadogo

3. Wataamka wengine na kusema hormones zao zinawaruhusu kuchuna ngozi na kunywa damu, wasipofanya hivyo watakufa

4. watatokea wengine na kusema, wanapenda mapenzi ya kubaka, hormones zao zinawaruhusu kubaka mwanamke yeyote yule

This issue is a ticking bomb that has domino effect in destroying moral standards of human. I do know that we have disabled people, some can not see, others can not walk. Lakini sijaona hata sikumoja wakiwalazimisha watu wawe kama wao, au wakijitangaza kuwa wao vilema.

Kama kweli unajiona huko hivyo, na sababu siyo malezi au kutaka mwenyewe, na unafikiri umezaliwa hivyo, jihesabu kuwa kilema. Usimtukane Mungu wala kuwachafua wengine kwa sbabau wewe ni kilema wa hormones!

Please, believe me Jesus can make you free, HE can recreate you, you will enjoy your manhood with muscline behaviour, you will never ever think about this issues. This can happen only if you believe and allow him to work in your life, test him he is free!!!!
 
Mods;

sikuwahi kuiona hii thread na I do believe na nyie hamkuiona .

Mmeona haya maneno ya Bwabwa na still thread iko free!

Swala langu ni kuwa sitambagua, kumchukia wala kumponda huyu mtu anayeitwa Bwabwa. According to my view, sidhani kama anataka msaada hapa wankutatua tatizo lake isipokuwa anatangza uchafu. Pili kwa kumsaidia nadhani angeenda kwa wanasaikolojia, lakini kwa imani yangu mimi I am 100% sure than Jesus can heal him perfectly and permanently.

Nina hakika Bwabwa angetafuta washauri bila hata kujitanga humu.

Hii thread kuachiwa kutaleta double standards na ndio dunia inakoelekea

1. Kuna watu watasema hormone zimewazidi hivyo hormone zao zinawaruhusu kulala na wanyama!

2. wengine watasema hormones zao zinawaruhusu kulala na watoto wadogo

3. Wataamka wengine na kusema hormones zao zinawaruhusu kuchuna ngozi na kunywa damu, wasipofanya hivyo watakufa

4. watatokea wengine na kusema, wanapenda mapenzi ya kubaka, hormones zao zinawaruhusu kubaka mwanamke yeyote yule

This issue is a ticking bomb that has domino effect in destroying moral standards of human. I do know that we have disabled people, some can not see, others can not walk. Lakini sijaona hata sikumoja wakiwalazimisha watu wawe kama wao, au wakijitangaza kuwa wao vilema.

Kama kweli unajiona huko hivyo, na sababu siyo malezi au kutaka mwenyewe, na unafikiri umezaliwa hivyo, jihesabu kuwa kilema. Usimtukane Mungu wala kuwachafua wengine kwa sbabau wewe ni kilema wa hormones!

Please, believe me Jesus can make you free, HE can recreate you, you will enjoy your manhood with muscline behaviour, you will never ever think about this issues. This can happen only if you believe and allow him to work in your life, test him he is free!!!!

Maneno mazito haya... lakini kumbuka hajasema anahitaji msaada yeye anafurahia jinsi alivyo

Mods, hebu futeni hizi threads za namna hii za ut@mu ilishakufa
 
Mh! Haya makubwa.. Mods tunaomba mtupe msimamo wa JF khs watu wa aina hii. Binafsi nashauri wafungiwe manake kwa mujibu wa utamaduni wetu, hii tabia hairuhusiwi kwenye jamii.
 
Mh! Haya makubwa.. Mods tunaomba mtupe msimamo wa JF khs watu wa aina hii. Binafsi nashauri wafungiwe manake kwa mujibu wa utamaduni wetu, hii tabia hairuhusiwi kwenye jamii.

Kwa nn hairuhusiwi? una data/fact?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom