Bw. Membe hamuongelei vibaya Bw. Lowassa

Bw. Membe hamuongelei vibaya Bw. Lowassa

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Katika fuatilia yangu ya wagombea urais, nimesikia wengi wakimuongelea na kumdhihaki wazi wazi Bw.Lowassa.

Wagombea kama Bw.Mwakyembe, Bw.Sitta &Co, lakini sijasikia Bw.Membe akimuongelea vibaya Bw.Lowassa, hii inaashiria habari njema kabisa na mwisho wa siku Mwakyembe, Sitta na wenzake wataumbuka sana na si ajabu 2015 ikawa ndio mwisho wao kisiasa Tanzania!
 
Anajua mvua ya mashambuluzi atakayokutana nayo toka kwa Team Lowassa. Hawa watu wanamsubiri kwa hamu kubwa Membe afungue kinywa chake na ndipo wanyesheshe mvua..!!!!

BACK TANGANYIKA
 
membe ndiye mgombea wa ovyo kuliko

haongei vibaya juu ua UFISADI
haongei juu ya maendeleo

ANACHOchochea NI kuitaka TANZANIA ijiunge na OIC na kuleta mahakama ya kadhi

Kitu Makongoro hao wengine wanajisumbua
 
Inaonekana kufuatilia kwako kuna makengeza,ni lini dk mwakyembe ametangaza anagombea?
 
membe ndiye mgombea wa ovyo kuliko

haongei vibaya juu ua UFISADI
haongei juu ya maendeleo

ANACHOchochea NI kuitaka TANZANIA ijiunge na OIC na kuleta mahakama ya kadhi

Kitu Makongoro hao wengine wanajisumbua

membe anataka kuigeuza tanzania kuwa nchi ya kiislamu eti tutapata misaada kwakujiunga na ioc waarabu wanalipi jema maskini wakubwa.wabaguzi wa rangi tujiunge nao iliweje zaidi ya kutuletea magaidi .huyu hafai kuwa raisi anaendelea kuifanya tanzania kuwa ombaomba .kwanza kwenye utumishi wake kama waziri wa mambo ya nje kawafanyia nini watanzania
 
membe anataka kuigeuza tanzania kuwa nchi ya kiislamu eti tutapata misaada kwakujiunga na ioc waarabu wanalipi jema maskini wakubwa.wabaguzi wa rangi tujiunge nao iliweje zaidi ya kutuletea magaidi .huyu hafai kuwa raisi anaendelea kuifanya tanzania kuwa ombaomba .kwanza kwenye utumishi wake kama waziri wa mambo ya nje kawafanyia nini watanzania

Membe au Pinda?
 
membe anataka kuigeuza tanzania kuwa nchi ya kiislamu eti tutapata misaada kwakujiunga na ioc waarabu wanalipi jema maskini wakubwa.wabaguzi wa rangi tujiunge nao iliweje zaidi ya kutuletea magaidi .huyu hafai kuwa raisi anaendelea kuifanya tanzania kuwa ombaomba .kwanza kwenye utumishi wake kama waziri wa mambo ya nje kawafanyia nini watanzania

Umeharibu upepo kilaza wewe, huyo membe uislamu wake uko wapi? Sisi waislamu hatumtaki hata kumsikia, kafanya nini cha maana hata athubutu au atamani kuwa rais wa nchi hii,
Wizara yake ni moja ya Wizara hovyo kabisa amabazo zina kashfa kubwa, balozi zote zimejaa watoto wao, balozi zote zinaongoza kwa matumizi mabaya ya pesa za umma,
Balozi zao mpaka zinaajiri wageni toka nchi nyingine wakati watanzania hapa tunapiga misele na elimu hakuna kazi,
Huyu membe, Lowassa, Tyson sioni cha maana chochote kwao, miaka wamekaa kwenye system hakuna hata kimoja walichofanya hata kwenye Wizara tu wanazoongoza ije kuwa nchi nzima Leo,?
 
Mwakyembe na Sitta nao watatangaza nia au umeamua kunogesha uzi tu????????
 
Jana nimeota kama Lowassa president alafu Membe waziri mkuu hivi.
 
Dunia imebadilika rais achaguliwi tena na wazee anachaguliwa na wenye pesa wananchi wanampitisha ndo maana mzee we mtama lazima abakishe maneno
 
Mtu yeyote anayemuongelea Lowassa vibaya ana kuwa kama anaua maiti maana Lowassa jina tu lenyewe linanuka rushwa, ufisadi, umafia, ulevi, visasi na chuki. Hakuna haja ya kumsemea vibaya wakati mtu mwenyewe atajifia siku si nyingi. Sisi waislamu tunakatazwa kumsemea vibaya maiti.
 
Dhambi ya udini na fitina iliyo ndani ya Mwkembe na Sitta itahiangamiza CCM vipande vipande.
 
Kwa hakika uamuzi na mamlaka ya kumpitisha rais ni jukumu la wananchi hususani wapiga kura japo wizi na tabia za uchakachuzi wa kura hujitokeza; ccm mpaka sasa hawana lao jipya hata angezaliwa leo mtu na kuingia ktk chama hicho bado mfumo utamchafua tu kwani walikuwepo watu machachali na wenye nia ya dhati kutetea uma wa watz lakini ccm imewaharibu na kuwameza na hawasikiki tena , hivyo tusitegemee mtu mwema wa kuiongoza nchi hii atokee ccm sina maana kuwa upinzani ni wasafi la hasha nao wanayao mapungufu lakini ebu tuwape nafasi wajaribu nao japo kwa muda mfupi kwani wakishika dola huenda kukawa na mabadiliko kwa kuhofia kupinduliwa .
 
Umeharibu upepo kilaza wewe, huyo membe uislamu wake uko wapi? Sisi waislamu hatumtaki hata kumsikia, kafanya nini cha maana hata athubutu au atamani kuwa rais wa nchi hii,
Wizara yake ni moja ya Wizara hovyo kabisa amabazo zina kashfa kubwa, balozi zote zimejaa watoto wao, balozi zote zinaongoza kwa matumizi mabaya ya pesa za umma,
Balozi zao mpaka zinaajiri wageni toka nchi nyingine wakati watanzania hapa tunapiga misele na elimu hakuna kazi,
Huyu membe, Lowassa, Tyson sioni cha maana chochote kwao, miaka wamekaa kwenye system hakuna hata kimoja walichofanya hata kwenye Wizara tu wanazoongoza ije kuwa nchi nzima Leo,?

Mkuu tuliza jazba!Bwana Bakari mdogo wa Jk atakuletea mahakama ya Kadhi na kujiunga na OIC.Sababu ye ni muislamu kwa dini na mkiristo kwa jina,kwa hiyo baadhi ya wakristo watamuunga mkono kwa kuona kwamba analeta umoja ktk nchi kumbe ni wale wale.
 
Mulize Pasco atakwambia jinsi alivyoshushuliwa na kustwa na Membe mpaka akawa mdogooooo ka sisimizi
 
Dk. Mwakyembe alipolalamika juzi kuwa kuna kundi la wahuni linatumia jina lake na cheo chake kusambaza taarifa kwenye mitandao ambazo hajaziandika yeye, nimeelewa sasa baada ya kuisoma thread hii ya Barbarosa, typical PR piece ya umamluki wa kumuuza Membe na kuwajengea chuki wengine. Kwa kuwa Mwakyembe kapeleka suala hili Cyber Crime Dept ya Jeshi la Polisi, na Polisi wanahisi ni mchezo tu wa kitoto wa kisiasa ambao mamluki wanaandika nyaraka kwa kutumia majina ya wengine halafu wanakimbilia kujibu wenyewe kama ambavyo Barbarosa anavyofanya hapa bila aibu- umamluki mtupu!
 
unachekesha sana mary na tina! nje ya kuwa mtoto wa mwl. nyerere makongoro ni nani kwenye nchi hii? tumia akili kufikiria.

membe ndiye mgombea wa ovyo kuliko

haongei vibaya juu ua UFISADI
haongei juu ya maendeleo

ANACHOchochea NI kuitaka TANZANIA ijiunge na OIC na kuleta mahakama ya kadhi

Kitu Makongoro hao wengine wanajisumbua
 
Back
Top Bottom