Bustani ya Eden ilikuwa wapi?

Bustani ya Eden ilikuwa wapi?

Edeni ilikuwa Tanzania.

Kwanza Olduvai Gorge, alipopatikana mwanadamu wa kale kabisa.

Pili Madini aina zote yapo Tanzania, yaliwekwa na Mungu kuhakikisha kila hitaji la madini linapatikana.

Tatu, uoto wa aina karibu zote za maua, ukienda Kitulo Makete utapata jibu.

Nne vijito kila kona ili kuhakikisha msosi si issue kabisa.

Tano Wanyama wa aina nyingi tu, walioumbwa kumpa bin-adam kampani, huwezi kuwakuta kwa mamia na aina nchi nyingine.

Sita Amani, Tanzania unaweza kumsamehe hata yule aliyeiba kura na kuwa kiongozi, hata kumdhuru hufikiri. Utapata wapi duniani, amani kama Tanzania.
 
kidogo umenifungua macho, ukipata wasa mzur ebu elezea hili kwakina maana biblia imejawa mafumbo meng sana
 
Edeni ilikuwa Tanzania.

Kwanza Olduvai Gorge, alipopatikana mwanadamu wa kale kabisa.

Pili Madini aina zote yapo Tanzania, yaliwekwa na Mungu kuhakikisha kila hitaji la madini linapatikana.

Tatu, uoto wa aina karibu zote za maua, ukienda Kitulo Makete utapata jibu.

Nne vijito kila kona ili kuhakikisha msosi si issue kabisa.

Tano Wanyama wa aina nyingi tu, walioumbwa kumpa bin-adam kampani, huwezi kuwakuta kwa mamia na aina nchi nyingine.

Sita Amani, Tanzania unaweza kumsamehe hata yule aliyeiba kura na kuwa kiongozi, hata kumdhuru hufikiri. Utapata wapi duniani, amani kama Tanzania.

Hapo kwenye kuibiwa kura sitakuja kuisamehe tume. Lowassa utabaki kuwa Rais kwenye mioyo ya wa Tanzania zaidi ya milioni 38 milele

www.google.com/lowassa
 
Biblia inapomtaja seth,Habili na Kain.haimaanishi kuwa watoto wa kike hawakuwepo.Hao watu baadae walizaana na kuwa koo kubwa.
 
Biblia inapomtaja seth,Habili na Kain.haimaanishi kuwa watoto wa kike hawakuwepo.Hao watu baadae walizaana na kuwa koo kubwa.
Unajua mkuu hapo zaman kabla ya mungu kumpa musa zile sheria 10 mtoto alikua na uwezo wa kuzaa na mama yake Dada yake bila kujali mpaka pale mungu alipompa Musa sheria zake na kukataza jambo hilo
 
bustani ya edeni ilikuwepo eneo la ngorongoro arusha Tanzania kwni katika biblia tunaelezwa binadamu aliishi na wanyama ila baadae akawekewa uadui nao na ngorongoro ni eneo pekee ambalo bado kuna binadamu wanaishi na wanyama pili fuvu LA MTU wa kale zaid lilipatikana huko pia MTU mweusi na chimbuko LA mwanadamu kwani anaweza kuzaa mweupe kuna kitabu kimetoa ushahidi mwingi ikiwamo geographia pamoja na aina ya uoto wa asili
 
WanaJamii,

Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na huruma kwa kufika siku ya leo. Nimeona leo tuweze kuelemishana kuhusu biblia na maandiko matakatifu.

Mwenyezi Mungu anasema, watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa. Kusoma biblia ni sehemu ya kujua mambo na kumjua uweza na utukufu wake Mwenyezi Mungu muumbaji.

Swali la leo, ningependa kujua bustani ya Eden ilikuwa wapi katika ulimwengu wa leo? Kwa kifupi tu naweza kusema, wazungu wamepotosha sana khusu hili na kuhusu image halisi ya Mungu wetu pamoja alituumba kutokana na mfano wake; lakni Mungu anaonekana ni mtu mweupe tu.

Kwahyo na mambo mengine nahisi yatakuwa yamepotoshwa kuhusu bibilia tofauti na wenzangu waislam ambao wao vitabu vyao vimebaki kama vilivyo na hadithi zao hazina utofauti na bibilia, tofauti yetu mimi sijui ni wapi!

Hivyo nafungua majadala tujuzane ni wapi bustani ilikuwepo na tutazidi kuulizana maswali pale utata unapokuwa.

Nawakaribisha waislam pia maana wengi wao wanao ufahamu wa kwenye biblia na naomba huu mjadala uwe wa amani..
Kwa mujibu wa maandiko, bustani hii ilikuwa katikati ya mito miwili, Euphrates na Tgris. Kwa maana hii, bustani hii ilikuwa (bado ipo?) nchini Iraq.
 
Her ya mwaka mpya wana hum jf,mng awabaliki wote watakao changia hii maada hata wasomaji kwa ajili ya kuelewa zaid,
Napenda kuuliza hiv bustani ya edeni ilikuwa nchi gani?na adam na hawa waliishi kwa mda gani ndani ya bustani hyo? Pia wasingetenda dhambi wakaishi milele je sisi tungekuwepo kizaz hiki? Nawasilisha,amani bwana iwe nanyi nyote
 
Mkuu nimepitia comment nying naona kuwa eden alikuwa hapa duniani itakuwa ilikuwa karibu na mungu ndio mahaana awa wakina adamu na eva alipowafukuza na kuwambia nendeni mkaijaze dunia mzima inaoneka hapakuwepo watu Bali hao waliofukuzwa ndo wakaanza kuzaliana hapa dunia na ningependa kujua juu ya watu weusi walipatikane ikionyesha kuwa robo Tatu ya dunia ni weupe hapo napata utata kwann sote tusingekuwa rangi moja???
 
Mkuu nimepitia comment nying naona kuwa eden alikuwa hapa duniani itakuwa ilikuwa karibu na mungu ndio mahaana awa wakina adamu na eva alipowafukuza na kuwambia nendeni mkaijaze dunia mzima inaoneka hapakuwepo watu Bali hao waliofukuzwa ndo wakaanza kuzaliana hapa dunia na ningependa kujua juu ya watu weusi walipatikane ikionyesha kuwa robo Tatu ya dunia ni weupe hapo napata utata kwann sote tusingekuwa rangi moja???
Na hilo suala la kuzaliana na kuijaza dunia linachanganya. Maandiko yanasema Adam na Eva waliwazaa Kain na Abel ambao wote ni wa kiume. baadaye kaini akamuua Abel. Hivi waliongezekaje mpaka tukawa wengi kiasi hiki wakati mwanamke pekee alikuwa Eva? Na je waafrika, wachina, wakorea na wajapani au wahindi walitokeaje katika uzao mmoja. kwa kifupi ni kuwa tofauti za rangi zilikujaje wakate wote ni uzao wa Adam na Eva/Hawa?
 
Mkuu ngoja tuwasubili wataaramu na mm ntakuwa nimejibiwa kupitia swali lako kuhusu hizo kabira
 
IRAQ ni nchi takatifu, hata Yesu inasadikika aliishi hapo, manabii karibia wote waliishi hapo, ndio chimbuko la Adam na Eva.
Sasa kwanini huko ndiko kwenye vita, mauaji na vurugu zote za mateso kwa binadamu? Hao watu bora wangezaliwa na kuishi Tanganyika
 
Sasa kwanini huko ndiko kwenye vita, mauaji na vurugu zote za mateso kwa binadamu? Hao watu bora wangezaliwa na kuishi Tanganyika
Mkuuu Tanganyika! be serious bana! Tnganyika hii hii ya chama?
 
Back
Top Bottom