Bustani ya Eden ilikuwa wapi?

Bustani ya Eden ilikuwa wapi?

...wewe unakaribia kuwa sahihi;bustani ya eden ni uzuri wa mwili wa mwanamke,na tunda ndio lile tunalifahamu wote.Acheni habari za mto tigris,iraq, sijui na nini.
Sasa Adam na eva walifukuzwa wapi?
 
katika kusoma kwangu biblia nililuona hili kuwa watu gani walikuwa upande wa east of eden?
na kwanini Mungu alimwekea cain alama ili asiuaawe? niliyaona haya maswali sema sikujua nianzie wapi.

je Mungu ni wa wayahudi tu? inakuje wayahudi wanatajwa wao pekee yao? au nakosea
Wanatajwa wao kwa sababu wenzetu walijitahidi kuweka historia ya mambo ya kale yanayohusu Mungu na jamii yao ya Kiyahudi, jamii zingine kama Afrika huku hayakuwa na utamaduni wa kurekodi vizazi hadi vizazi!
 
Muleta mada soma vizuri biblia hakusema watu bali watu wetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa

Nimeweka kumbukumbu sawa
 
Bustani ya Eden ilikua Tanzania na fuvu la Adam lilipatikana Olduvai. Bisha kwa evidence
 
Edeni ilishushwa chini ya bahari na baadae ikahamishwa na kupelekwa juu paradiso.
Kumbuka Mungu aliweka makaika ili kulinda mtu asiingie akachuma tunda la mti wa uzima.

Kuna vitu vingi vimehamishwa au kufichwa hapahapa duniani mfano sanduku la agano lipo wapi hivi leo
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Bustani ya Edeni ni "biblical parable" iliyotumika to describe the "ancient beatiful earth" kabla ya uasi wa Ibilisi na then wanadamu

Kwa Kiebrania neno "Adeni/Edeni" linamaanisha "sehemu nzuri na yenye kuvutia mno." Kutokana na uzuri huo, dunia ilifananishwa na bustani. Sote twajua namna bustani zinavyopendeza na zilivyo sehemu za utulivu na amani.

Kumbuka mwandishi wa kitabu cha Mwanzo, Musa hakuwepo kipindi cha uumbaji ila alipata maono kutoka kwa Mungu. Kama ilivyo kwa kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Danieli, Ezekieli, Zekaria nk, kitabu cha Mwanzo kina portions za apocalyptic writings (mafumbo, alama, namba nk). Kwa mfano: Tunda la mti wa katikati, mti wa ujuzi wa mema na mabaya, mti wa uzima, nyoka nk... Haya ni sehemu ya mafumbo hayo.

Jiulize kama Edeni ingekuwa ni sehemu moja duniani, iko wapi sasa? Mungu alipowafukuza watu kutoka Edeni ile na kuweka walinzi alimaanisha nini?

Nikipata muda nitakuja kuelezea.

hapo ungesema dunia ilifananishwa na edeni nigekuelewa lakini dunia sio bustani. soma mwanzo 2 :8 'bwana MUNGU akapanda bustani upande wa mashariki wa edeni'.

ukiendelea kusoma mstari wa 10 unasomeka 'hivi ukatoka mto katika edeni wa kuitilia maji bustani na kutokea hapo ukagawanyika katika vichwa vinne ( Pishoni, Gihoni, Hidekeli na Frati )'
 
This is a major consideration that needs to be taken into account. The worldwide, catastrophic Flood of Noah’s day would have destroyed the surface of the earth. If most of the sedimentary strata over the earth’s surface (many thousands of feet thick in places) is the result of this global catastrophe as creationists believe, then we would have no idea where the Garden of Eden was originally located—the earth’s surface totally changed as a result of the Flood.

Not only this, but underneath the region where the present Tigris and Euphrates Rivers are located there exists hundreds of feet of sedimentary strata—a significant amount of which is fossiliferous. Such fossil-bearing strata had to be laid down at the time of the Flood.

Therefore, no one can logically suggest that the area where the present Tigris and Euphrates Rivers are today is the location of the Garden of Eden, for this area is sitting on Flood strata containing billions of dead things (fossils). The perfect Garden of Eden can’t be sitting on billions of dead things before sin entered the world!

This being the case, the question then is why are there rivers named Tigris and Euphrates in the Middle East today?

chapter1-map.gif

Many wrongly conclude that the Garden of Eden was somewhere in the Middle East based on the names of the rivers in Genesis 2.

In my native country of Australia, one will recognize many names that are also used in England (e.g., Newcastle). The reason is that when the settlers came out from England to Australia, they used names they were familiar with in England to name new places/towns in Australia.

Another example is the names given to many rivers in the United States. There is the Thames River in Connecticut, the Severn River in Maryland, and the Trent River in North Carolina—all named for prominent rivers in the UK.

In a similar way, when Noah and his family came out of the ark after it landed in the area we today call the Middle East (the region of the Mountains of Ararat), it would not have been surprising for them to use names they were familiar with from the pre-Flood world (e.g., Tigris and Euphrates), to name places and rivers, etc., in the world after the Flood.

Ultimately, we don’t know where the Garden of Eden was located. To insist that the Garden was located in the area around the present Tigris and Euphrates Rivers is to deny the catastrophic effects of the global Flood of Noah’s day, and to allow for death before sin.

I m trying to draw some logics behind your contentions.
 
Mungu anaonekana ni mtu mweupe tu?@aminiusuamini
Ameonekana na nani ? Wwe umemwona lini ukamwona ni mweupe? Mungu gani ni mtu? Tafadhali jamani.

Mungu ni Roho hana mwili, mifupa wala damu. Wwe wapi umesoma Mungu ni mtu mweupe? Naomba ujiepushe na ibada za sanamu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
WanaJamii,

Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na huruma kwa kufika siku ya leo. Nimeona leo tuweze kuelemishana kuhusu biblia na maandiko matakatifu.

Mwenyezi Mungu anasema, watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa. Kusoma biblia ni sehemu ya kujua mambo na kumjua uweza na utukufu wake Mwenyezi Mungu muumbaji.

Swali la leo, ningependa kujua bustani ya Eden ilikuwa wapi katika ulimwengu wa leo? Kwa kifupi tu naweza kusema, wazungu wamepotosha sana khusu hili na kuhusu image halisi ya Mungu wetu pamoja alituumba kutokana na mfano wake; lakni Mungu anaonekana ni mtu mweupe tu.

Kwahyo na mambo mengine nahisi yatakuwa yamepotoshwa kuhusu bibilia tofauti na wenzangu waislam ambao wao vitabu vyao vimebaki kama vilivyo na hadithi zao hazina utofauti na bibilia, tofauti yetu mimi sijui ni wapi!

Hivyo nafungua majadala tujuzane ni wapi bustani ilikuwepo na tutazidi kuulizana maswali pale utata unapokuwa.

Nawakaribisha waislam pia maana wengi wao wanao ufahamu wa kwenye biblia na naomba huu mjadala uwe wa amani..
Mkuu tumia tu Hata quran ili upate majibu.
 
Bustani ya Edeni ni "biblical parable" iliyotumika to describe the "ancient beatiful earth" kabla ya uasi wa Ibilisi na then wanadamu

Kwa Kiebrania neno "Adeni/Edeni" linamaanisha "sehemu nzuri na yenye kuvutia mno." Kutokana na uzuri huo, dunia ilifananishwa na bustani. Sote twajua namna bustani zinavyopendeza na zilivyo sehemu za utulivu na amani.

Kumbuka mwandishi wa kitabu cha Mwanzo, Musa hakuwepo kipindi cha uumbaji ila alipata maono kutoka kwa Mungu. Kama ilivyo kwa kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Danieli, Ezekieli, Zekaria nk, kitabu cha Mwanzo kina portions za apocalyptic writings (mafumbo, alama, namba nk). Kwa mfano: Tunda la mti wa katikati, mti wa ujuzi wa mema na mabaya, mti wa uzima, nyoka nk... Haya ni sehemu ya mafumbo hayo.

Jiulize kama Edeni ingekuwa ni sehemu moja duniani, iko wapi sasa? Mungu alipowafukuza watu kutoka Edeni ile na kuweka walinzi alimaanisha nini?

Nikipata muda nitakuja kuelezea.


Kama nakuelewa hiviii...hebu Fanya urudi uwokoe hiki kizazi kinacho angamia kwa kukosa maarifa
 
Hahah imebidi tu nicheke si ndio wana historia wanasema fuvu la mtu wa kwanza sijui lilipatikana hapa
Umeona, wale wa babiloni walituzidi ujanja, wakaita mito ya huko majina ya biblia. Mfano, sisi kuita bara bara yetu BARACK OBAMA haiwezi mfanya Obama awe mtanzania.. Ataendelea kuwa mkenya. Vivo hiyo eden itabaki kuwa ilipokuwa licha ya majina ya mito inayoizunguka kuwepo irak.
 
...wewe unakaribia kuwa sahihi;bustani ya eden ni uzuri wa mwili wa mwanamke,na tunda ndio lile tunalifahamu wote.Acheni habari za mto tigris,iraq, sijui na nini.
We ndo unakosea kabisa
 
wakristo mmefichwa vitu vingi sana kwenye biblia, iko hivi kuna malaika flani huko mbinguni(kwa mujibu wa biblia, binafsi siamini) waliwatamani wale wanawake wa enzi zile hivyo wakashuka duniani na kufanikiwa kutembea nao wale wanawake, ukawa mchezo wao kila mara, hatimaye wanawake wakapata ujauzito na ndipo wakazaliwa wanefil, watu sio watu, malaika sio malaika kiufupi walikuwa mijitu tena ile ya ajabu
Wanefil ndo wale waliopitia mabadiliko kutoka manyani
 
Wazungu na yeyote yule walioandika hivi vitabu Ni waongo wakubwa nashangaa mpaka Leo hii sijui kwanini watu bado wanaamini huu upuuzi. Kama mpaka Leo hii wanashindwa kujua jinsi gani yalijengwa mapiramidi ya Misri na wewe unaamini stori zao jinsi gani mungu aliumba dunia basi utakuwa mpuuzi. Je dunia hii na mapiramidi nini kilianza?
 
Na usisahau kwamba kabla ya Adam walikuwepo walioishi nje ya Eden. Adam alivyofukuzwa akaenda kuishi nao. Eden ilikuwa Iraq ya sasa
Yani ukweli Ni kuwa kabla Adam NA Eva, Kuna watu walikuwepo Na maisha yalienda.....
 
Back
Top Bottom