Bustani ya Eden ilikuwa wapi?

Bustani ya Eden ilikuwa wapi?

Na hilo suala la kuzaliana na kuijaza dunia linachanganya. Maandiko yanasema Adam na Eva waliwazaa Kain na Abel ambao wote ni wa kiume. baadaye kaini akamuua Abel. Hivi waliongezekaje mpaka tukawa wengi kiasi hiki wakati mwanamke pekee alikuwa Eva? Na je waafrika, wachina, wakorea na wajapani au wahindi walitokeaje katika uzao mmoja. kwa kifupi ni kuwa tofauti za rangi zilikujaje wakate wote ni uzao wa Adam na Eva/Hawa?
Tofauti za rangi na kabila zilikuja wakati wa mnara wa babel hapa watu walikua wanaongea luga 1 na watu walikua kitu kimoja lakini kwa kua lengo lao ni kutengeneza mnara wa kufika mpaka mbinguni na uwexo wa kujenga walikua nao mungu akaamua kuwafanya wasielewane kwa luga na rangi zao yaani kila MTU akaongea luga yake mpya ambayo mungu alimpa na wakawa hawatambuani kutokana na rangi zao kubadilika
 
Na hilo suala la kuzaliana na kuijaza dunia linachanganya. Maandiko yanasema Adam na Eva waliwazaa Kain na Abel ambao wote ni wa kiume. baadaye kaini akamuua Abel. Hivi waliongezekaje mpaka tukawa wengi kiasi hiki wakati mwanamke pekee alikuwa Eva? Na je waafrika, wachina, wakorea na wajapani au wahindi walitokeaje katika uzao mmoja. kwa kifupi ni kuwa tofauti za rangi zilikujaje wakate wote ni uzao wa Adam na Eva/Hawa?
Na walipoona hawatambuani kila mmoja alimtafuta mwenzake waliokua wanazungumza luga inayofanana na kundoka nae hapa ndio chanzo cha makabila mbalimbali ikiwemo China India uingerza na huko nyuma walijulikana kwa majina mengine
 
Na walipoona hawatambuani kila mmoja alimtafuta mwenzake waliokua wanazungumza luga inayofanana na kundoka nae hapa ndio chanzo cha makabila mbalimbali ikiwemo China India uingerza na huko nyuma walijulikana kwa majina mengine
Dah kwaio wale weusi akawanyima na akili kabisa afu akawafanya watumwa haikua fair kabisa
 
Tofauti za rangi na kabila zilikuja wakati wa mnara wa babel hapa watu walikua wanaongea luga 1 na watu walikua kitu kimoja lakini kwa kua lengo lao ni kutengeneza mnara wa kufika mpaka mbinguni na uwexo wa kujenga walikua nao mungu akaamua kuwafanya wasielewane kwa luga na rangi zao yaani kila MTU akaongea luga yake mpya ambayo mungu alimpa na wakawa hawatambuani kutokana na rangi zao kubadilika
Na wale walio toa idea ya ujenzi akawapa rangi nyeusi akawanyima na akili na akawafanya wa nyuma nyuma maana mwanzo walikua vimbele mbele
 
Hahahahaaaaa Yasemekana hawa waliofanywa weusi ndio walitoa wazo la kujenga mnara wa babel
Hahahahahahaa itakua kweli kabisaa maana hii rangi nyeusi baada ya wazo la ujenzi wa mnara hakuna wazo lingine walilitoa yani sio idea wala invention...tumekua wanyuma nyuma hadi mifumo ya elimu tumecopy hadi pesa tumenyimwa
 
Nadhani ilibidi isemwe bustani ili kuhalilisha uwepo wa tunda, vunginevyo tunda mngedhani ni matusi.
 
Na walipoona hawatambuani kila mmoja alimtafuta mwenzake waliokua wanazungumza luga inayofanana na kundoka nae hapa ndio chanzo cha makabila mbalimbali ikiwemo China India uingerza na huko nyuma walijulikana kwa majina mengine
Bado sijaelewa kitu hapo
 
Tofauti za rangi na kabila zilikuja wakati wa mnara wa babel hapa watu walikua wanaongea luga 1 na watu walikua kitu kimoja lakini kwa kua lengo lao ni kutengeneza mnara wa kufika mpaka mbinguni na uwexo wa kujenga walikua nao mungu akaamua kuwafanya wasielewane kwa luga na rangi zao yaani kila MTU akaongea luga yake mpya ambayo mungu alimpa na wakawa hawatambuani kutokana na rangi zao kubadilika
Kuhusu kuzaliana na kuijaza dunia ilikuwaje? Maana hapo mwanamke alikuwa ni mmoja tu ambaye ni Eva. Sasa Yupo Adam, Kaini na Abel alyeuliwa baadaye/ Wengine walitoka wapi mpaka tukawa kibao leo?
 
Kuhusu kuzaliana na kuijaza dunia ilikuwaje? Maana hapo mwanamke alikuwa ni mmoja tu ambaye ni Eva. Sasa Yupo Adam, Kaini na Abel alyeuliwa baadaye/ Wengine walitoka wapi mpaka tukawa kibao leo?
Baada ya Abel kufa alizaliwa Seth na unajua tena zamani watu kabla ya mungu kumpa Musa zile sheria wslikua kama wanyama tu ilikua ni kawaida mtoto kumrudia mama na kuzaa nae yote yanawezekana tu japo biblia haituambii mke wa kaini na Seth waliwaolea wapi inasema tu wakaoa na kupata watoto so inawezekana walimrudia mama yao
 
Baada ya Abel kufa alizaliwa Seth na unajua tena zamani watu kabla ya mungu kumpa Musa zile sheria wslikua kama wanyama tu ilikua ni kawaida mtoto kumrudia mama na kuzaa nae yote yanawezekana tu japo biblia haituambii mke wa kaini na Seth waliwaolea wapi inasema tu wakaoa na kupata watoto so inawezekana walimrudia mama yao
Ukimchunguza kuku hutamla naona tuache tu libaki fumbo la imani. Kusema kweli Biblia huwa inachanganya sana katika stori zake. Kuna moja eti mzee mmoja alisafiri na watoto wake wawili wa kike kwenda nchi fulani. Kufika huko wale wasichana wakakosa watu wa kuwingilia yaani kufanya nao mapenzi. Wakaamua kumnywesha baba yao mvinyo alipolewa siku ya kwanza mkubwa akalala na baba yake. Kesho yake mtoto wa pili naye akamnnyesha babake alipolewa akalala naye. Biblia inasema wote wakapata mimba wakazaa watoto ambao waligawanyika wakawa mataifa mawili. Atyakaye taka kifungu nitampa
 
Ukimchunguza kuku hutamla naona tuache tu libaki fumbo la imani. Kusema kweli Biblia huwa inachanganya sana katika stori zake. Kuna moja eti mzee mmoja alisafiri na watoto wake wawili wa kike kwenda nchi fulani. Kufika huko wale wasichana wakakosa watu wa kuwingilia yaani kufanya nao mapenzi. Wakaamua kumnywesha baba yao mvinyo alipolewa siku ya kwanza mkubwa akalala na baba yake. Kesho yake mtoto wa pili naye akamnnyesha babake alipolewa akalala naye. Biblia inasema wote wakapata mimba wakazaa watoto ambao waligawanyika wakawa mataifa mawili. Atyakaye taka kifungu nitampa
Hii ni kweli huyu ni lutu na binti zake wawili baada ya sodoma na gomora kuteketea
 
Back
Top Bottom