golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,270
- 693
Na usisahau kwamba kabla ya Adam walikuwepo walioishi nje ya Eden. Adam alivyofukuzwa akaenda kuishi nao. Eden ilikuwa Iraq ya sasa
Last edited:
Na usisahau kwamba kabla ya Adam walikuwepo wanefili walioishi nje ya Eden. Adam alivyofukuzwa akaenda kuishi na wanefili. Eden ilikuwa Iraq ya sasa[/QUOTEsasa wewe chanzo cha watu si Adam sasa kabla ya ya Adam kufukuzwa hao watu walitoka wapi maana walipofukuzwa ndio wakazaa mtoto kaini na baadae abeli
Toa ushahidi..Na usisahau kwamba kabla ya Adam walikuwepo wanefili walioishi nje ya Eden. Adam alivyofukuzwa akaenda kuishi na wanefili. Eden ilikuwa Iraq ya sasa
Ilikuwa Mesopotamia ama Iraq ya leoWanaJamii,
Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na huruma kwa kufika siku ya leo.Nimeona leo,tuache siasa za magufuli kidogo na tuweze kuelemishana ni kuhusu biblia na maandiko matakatifu.
Mwenyezi Mungu anasema,watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa.Kusoama biblia ni sehemu ya kujua mambo na kumjua uweza na utukufu wake Mwenyezi Mungu muumbaji.
Swali la leo,ningependa kujua bustani ya eden ilikuwa wapi katika ulimwengu wa leo.Kwa kifupi tu naweza kusema,wazungu wamepotosha sana khusu hili na kuhusu image halisi ya Mungu wetu pamoja alituumba kutokana na mfano wake;lakni Mungu anaonekana ni mtu mweupe tu.Kwahyo na mambo mengine nahisi yatakuwa yamepotoshwa khusu bibilia tofauti na wenzangu waislam ambao wao vitabu vyao vimebaki kama vilivyo na hadithi zao hazina utofauti na bibilia,tofauti yetu mimi sijui ni wapi.
Hivyo nafungua majadala tujuzane ni wapi bustani ilikuwepo na tutazidi kuulizana maswali pale utata unapokuwa.Nawakaribisha waislam maana wengi wao wanao ufahamu wa kwenye biblia na naomba huu mjadala uwe wa amani?
...wewe unakaribia kuwa sahihi;bustani ya eden ni uzuri wa mwili wa mwanamke,na tunda ndio lile tunalifahamu wote.Acheni habari za mto tigris,iraq, sijui na nini.Bustani ya Edeni ni "biblical parable" iliyotumika to describe the "ancient beatiful earth" kabla ya uasi wa Ibilisi na then wanadamu
Kwa Kiebrania neno "Adeni/Edeni" linamaanisha "sehemu nzuri na yenye kuvutia mno." Kutokana na uzuri huo, dunia ilifananishwa na bustani. Sote twajua namna bustani zinavyopendeza na zilivyo sehemu za utulivu na amani.
Kumbuka mwandishi wa kitabu cha Mwanzo, Musa hakuwepo kipindi cha uumbaji ila alipata maono kutoka kwa Mungu. Kama ilivyo kwa kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Danieli, Ezekieli, Zekaria nk, kitabu cha Mwanzo kina portions za apocalyptic writings (mafumbo, alama, namba nk). Kwa mfano: Tunda la mti wa katikati, mti wa ujuzi wa mema na mabaya, mti wa uzima, nyoka nk... Haya ni sehemu ya mafumbo hayo.
Jiulize kama Edeni ingekuwa ni sehemu moja duniani, iko wapi sasa? Mungu alipowafukuza watu kutoka Edeni ile na kuweka walinzi alimaanisha nini?
Nikipata muda nitakuja kuelezea.
Acha uongo mkuu eden iko mbinguni...bado mpaka leo ipo katikati ya mapaja ya mwanamke,na tunda lililoliwa ndio lilee.. tunaloendelea kujitafunia mpaka wa leo!
swali jingine tafazali..
Mmmh!! sasa mbona now hata hapaeleweki nchi imebaki uwanja wa vita?IRAQ ni nchi takatifu, hata Yesu inasadikika aliishi hapo, manabii karibia wote waliishi hapo, ndio chimbuko la Adam na Eva.
hahahaa...bado mpaka leo ipo katikati ya mapaja ya mwanamke,na tunda lililoliwa ndio lilee.. tunaloendelea kujitafunia mpaka wa leo!
swali jingine tafazali..
Na usisahau kwamba kabla ya Adam walikuwepo wanefili walioishi nje ya Eden. Adam alivyofukuzwa akaenda kuishi na wanefili. Eden ilikuwa Iraq ya sasa
Mkuu mimi hapa bible ndo uwa inanipa wakati mgumu....vitabu vinasema binadamu wa kwanza ni Adamu na Hawa.....wewe unasema kuna watu walikuwa wanaitwa wanefili.....sasa hao akina Adamu kuwa wa kwanza wanamanisha nini....na kweli wanavyozengua Kaini alipo muua ndugu yake Abel Mungu alimrahani na kusema kila atakapobkwenda watamfukuza na atakuwa ni wakutangatanga......sasa hapo fikilia katika uumbaji ni watu wanne tu.....hao wengine wametoka wapi watakao mfukuza huyo muuaji?
Walikuwepo watu wengine mbali na hao wanaotajwa kwenye biblia, tena kabla yao Adam na Hawa.
Adam na Hawa ni kama miaka 6000 tu nyuma lakini mtu alikuwepo miaka milioni kadhaa kabla yao.
Pia binti wa Adam (Dina) alizaa na mnefili. Na watoto wengi wa kiume vizazi vya Adam walizaa na wanefili na inasemekana ilimchukiza Mungu.
Toa ushahid mkuu.. Maelezo yako hayana ushaidWalikuwepo watu wengine mbali na hao wanaotajwa kwenye biblia, tena kabla yao Adam na Hawa.
Adam na Hawa ni kama miaka 6000 tu nyuma lakini mtu alikuwepo miaka milioni kadhaa kabla yao.
Pia binti wa Adam (Dina) alizaa na mnefili. Na watoto wengi wa kiume vizazi vya Adam walizaa na wanefili na inasemekana ilimchukiza Mungu.
Hapa sasa tuamini kipi....Adamu na Hawa sio wa mwanzo na katika uumbaji na ina maana Mungu aliangalizia kwa kwa hao wanefili umbo la mwanadamu na sio ule usemi kwa mfano wake yeye akatuumba sisi wanadamu?