Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,900
Mimi busara zangu tu za kipumbavu pumbavu tu!

Mzee sita akipiga hesabu vyeo vyote alivyowahi kushika anatakiwa kupumzika. Muda umeenda population imeongezeka wasomi wapo wa kutosha hakuna mwenye uwezo wa kuwa Na vyeo alivyowahi kushika katika kipindi hiki. Akiendelea kung'ang'ania sana atakuwa kama Kingunge. Hana mchango mpya tena. Alipewa nafasi ya kuleta mchango wake tayari kuna watu wanamichango hawajawahi kupata nafasi.
 
Huyu mzee amekuwepo serikalini tangu Nyerere. Apumzike sasa abaki na heshima yake kwa jamii
 
Inaonekana hashauliki kwake uspeaker ni kama ufalme no wonder alijenga ofisi ya speaker jimboni kwake akijua watakuwa kwa icho kiti milele
 
Mimi busara zangu tu za kipumbavu pumbavu tu! Mzee sita akipiga hesabu vyeo vyote alivyowahi kushika anatakiwa kupumzika. Muda umeenda population imeongezeka wasomi wapo wa kutosha hakuna mwenye uwezo wa kuwa Na vyeo alivyowahi kushika katika kipindi hiki. Akiendelea kung'ang'ania sana atakuwa kama kingunge. Hana mchango mpya tena. Alipewa nafasi ya kuleta mchango wake tayari kuna watu wanamichango hawajawahi kupata nafasi.

Mwache akaibishwe mjengoni, atambulia kura ya mke wake tu...poor 6
 
Huyu mzee hovyo kabisa, nilisikiza mahojiano yake na AZAM TV nikabaki kuduwaa. Anajiona ni yeye tu mwenye haki ya kuwa spika!
 
Hawa wazee waroho sana wa madaraka. Sitta + Wasira +, + ,? ..
 
Huyu mzee hovyo kabisa, nilisikiza mahojiano yake na AZAM TV nikabaki kuduwaa. Anajiona ni yeye tu mwenye haki ya kuwa spika!

Nadhani CCM wawe Na kitengo cha ushauri tunataka speed ya maendeleo.
 
Mimi busara zangu tu za kipumbavu pumbavu tu! Mzee sita akipiga hesabu vyeo vyote alivyowahi kushika anatakiwa kupumzika. Muda umeenda population imeongezeka wasomi wapo wa kutosha hakuna mwenye uwezo wa kuwa Na vyeo alivyowahi kushika katika kipindi hiki. Akiendelea kung'ang'ania sana atakuwa kama kingunge. Hana mchango mpya tena. Alipewa nafasi ya kuleta mchango wake tayari kuna watu wanamichango hawajawahi kupata nafasi.
Naunga hoja mkono kwa 100%,huu ni muda wa kwenda kurina asali kama bado anajiona ana nguvu,mambo ya uheshimiwa spika asahau,tumemchoka huyu hana tofauti na akina Wassira matokeo yake wanadhalilishwa na wajukuu zao .
 
Katosha bwana,afanye shughuli za jamii tu,waziri tokea sijazaliwa,mpaka nikazaliwa yeye waziri tu,mpaka nimezaa ,yeye bado waziri tu.
 
mimi pia ccm damudamu lakin aina yawang'ang'aniz kama sitta hapana ametosha akizidi wampige chin tu
 
Nadhani CCM wawe Na kitengo cha ushauri tunataka speed ya maendeleo.
Nadhani ni wakati Magufuli amwambie bwana eeh kapumzike CCM inataka mabadiliko,tunataka spika kijana,hata kule Zanzibar pia niwaki Kificho nae akapumzike wawapishe wengine wasifanye usultani kwenye kazi ya kuwatumikia wananchi
 
Ina maana Sitta hana maisha mingine nje ya siasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom