donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,137
aisee kweli mkuuYaani mauti yanatunyemelea sana kwa hizi kitu za kuondoa mawazo haraka.
Tuombe Pia Neema na Rehema za MUNGU maana shetani anataka atumalize kwa mbinu zake nyingi na tofauti tofauti
Papaa chapa mayiii kufa kwayaYaani mauti yanatunyemelea sana kwa hizi kitu za kuondoa mawazo haraka.
Papaa chapa mayiii kufa kwaja
Papaa chapa mayiii kufa kwaja
sio kwaja ni kwaya
mkuu hii kitu ina 14%V alcoholDu, ni move nzuri kumfanya hata asiye na uwezo wa 12K ya papo kwa papo akapata starehe, japo ya masaa machache.
Ijapokuwa kwa mtu wa aina yangu anayepiga visichana viwili kila jioni sijui ntahitaji hizo packets ngapi ili afikie viwango!!!
Mleta mada labda useme hiyo wine ina alikoholi ngapi ili tuanzie hapo.
cc: Asprin Arushaone, Preta
kule arusha ukikutwa unakunywa haya makitu ni unachapwa bakora 70 hadharani
Kuna ukweli mkubwa tu, soma gazeti la "Mtanzania" la leo 30.01.14 utaona.......hata jimboni kwa Mbunge Nasari nako wamepitisha hizi bylawssidhani kama kuna ukweli hapo mkuu wakati chuga ndo inaongoza kwa watu kula viroba na akanana
Du, ni move nzuri kumfanya hata asiye na uwezo wa 12K ya papo kwa papo akapata starehe, japo ya masaa machache.
Ijapokuwa kwa mtu wa aina yangu anayepiga visichana viwili kila jioni sijui ntahitaji hizo packets ngapi ili afikie viwango!!!
Mleta mada labda useme hiyo wine ina alikoholi ngapi ili tuanzie hapo.
cc: Asprin Arushaone, Preta
Kwa bei ya sh. Mia sita tu, tunapata wine ambao mifuko yetu imepiga chenga kuafford ma dompo, st.anne, st.raphael etc.
View attachment 135895
daah kweli kimenuka mkuuKuna ukweli mkubwa tu, soma gazeti la "Mtanzania" la leo 30.01.14 utaona.......hata jimboni kwa Mbunge Nasari nako wamepitisha hizi bylaws
yes mkuuKwa hiyo ni chombo sweet sio.....