Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
Tunaoujua mchezo tunajua kuwa Zitto anatumiwa kwa maslahi ya watawala.Namuona JK hapo
kwasababu mama yake alitembelewa na JK ????Tunaoujua mchezo tunajua kuwa Zitto anatumiwa kwa maslahi ya watawala.
Comrade Nabii wako ndiyo amekuelekeza haya?Tangu utimuliwe ACT umekuwa mtu wa hovyo sana
Weka picha ya Tundu Lissu akiwa kitandani katembelewa na JK.kwasababu mama yeke alitembelewa na JK ????
jipe muda wa kutafakari Comrade.Weka picha ya Tundu Lissu akiwa kitandani katembelewa na JK.
Samia alikiuka maagizo toka juu.
Ndio maana jeshi lilitumika kuzuia wananchi wasichangie damu.
Asingemchomea nyumba na mashamba yake,plus kugomea teuziTunaoujua mchezo tunajua kuwa Zitto anatumiwa kwa maslahi ya watawala.
Hata nyerere alimsweka lupango bibi titi kumbe ilikuwa ghilba kwa wananchi.Asingemchomea nyumba na mashamba yake,plus kugomea teuzi
Huyu mtu ni sawa na mrema wa tlp na mbatia wa nccr.jipe muda wa kutafakari Comrade.
Angalau yeye si mnafiki,hao wengine bosi wao anafahamikaHuyu mtu ni sawa na mrema wa tlp na mbatia wa nccr.
Don't let a politician to grant you a favor 😁 as he will control you forever.
Naongelea ufahamu ngazi ya tano.
Alifanisha aliyotumwa kuyafanya akiwa chadema (kuidhoofisha) ndio maana waliomtuma wanahuzunika pamoja nae, wanauguza pamoja nae hata kulia wanalia nae.Angalau yeye si mnafiki,hao wengine bosi wao anafahamika
Mkuu hapa umeniacha kidogo, unamaanisha ZZK alikuwa akitumika na JK au hadi sasa bado ni mtiifu kwa pombe!??Tunaoujua mchezo tunajua kuwa Zitto anatumiwa kwa maslahi ya watawala.
Pigia mstari hilo jawabu.Mkuu hapa umeniacha kidogo, unamaanisha ZZK alikuwa akitumika na JK au hadi sasa bado ni mtiifu kwa pombe!??
Aise!! Ngoja tuone muda utatuambia nini juu ya hii moviePigia mstari hilo jawabu.