Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
Juni 1, 2014, tarehe kama ya leo Mama mzazi wa Kiongozi wa ACT wazalendo Zitto Kabwe Bi. Hajjat Shida Salum Mohamed alifariki Dunia katika hospitali ya Ami, Masaki, Dar alipokuwa anatibiwa.
Naomba tuendelee kumwombea kheri mama yetu aendelee kulala salama alipo. Ameen!!
Naomba tuendelee kumwombea kheri mama yetu aendelee kulala salama alipo. Ameen!!