Nyengo3
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 517
- 1,291
Yapata miezi 6 sasa, bado tunaendelea kufanya tathmini. Ila kama haya yaliyosemwa na jogi yanaanza kumea hivi!Alifanisha aliyotumwa kuyafanya akiwa chadema (kuidhoofisha) ndio maana waliomtuma wanahuzunika pamoja nae, wanauguza pamoja nae hata kulia wanalia nae.
Tungesema tofauti kama kinachotuliza wananchi kingekua kilio chao pia.
HATA MAALIM SEIF MSIMUAMINI KIHIIVYO.